Elections 2015 Freeman Mbowe atoa msimamo mzito kuhusu wanaoasi mageuzi

Elections 2015 Freeman Mbowe atoa msimamo mzito kuhusu wanaoasi mageuzi

Wake zetu tunawaombeni sana muwe na busara na hekima hasa waume zenu tunapofikia uzeen. Kiukweli, uzeeni wanaume tunachoka zaidi kuliko wanawake.

Mke mwenye busara na hekima hawezi kutumia mwanya huo kwa maslahi yake binafsi, hasa kama mumewe ni kiongozi wa jumuia, chama, au kiongoz wa kitaifa. Igeni mfano mwema wa Maria Nyerere.
 
Asubiri siku atayoachwa yeye na mkwewe na mamvi.
 
Udhaifu mkubwa mnakimbia kujibu issues badala yake mnajikita kwenye mambo binafsi, siasa hizi mnazidi kuonesha kwamba ubinafsi ndio umewajaa badala ya maslahi ya taifa. Kila mwanasiasa anataka kuonekana bora , badala ya kujikita kujenga nchi yetu.

Nyie mnavyotamka kuwa Lowasa ni Mgonjwa hapo huwa mnajenga nchi?
 
Hayo ndio maneno yanayostahili kusemwa na kiongozi imara!!

VIVA UKAWA
 
Kama Mandela alifika na ANC original Ikulu nipigwe mawe
 
ImageUploadedByJamiiForums1441282420.505921.jpg
Dr. Anaweza kujikuta yuko masjid‼️
 
Katika hali ya kuchoshwa na ubinafsi siasa za kibabe na kifalme ndani ya CCM.

Na maisha mabovu kwa nchi yetu ndani ya miaka 54 ya uhuru.

Leo hii hata Mbowe na Mbatia wakiondoka UkKAWA kwa njia yeyote ile.Iwe kama Slaa au Lipumba walivyoondoka,mimi nitaendelea kumwamini Lowassa mpaka mwisho wa shughuli na kura yangu nitampigia.

Kwa msisitizo hata wamnunue Lissu na Mnyika na ikatokea Sumaye akafanya kama Said Nkumba kura yangu kwa Babu Duni na Lowassa ipo pale pale.

Na huo ndio msimamo wangu, naombeni na wana mabadiliko wote tusimamie hilo kwa dhati kabisa.

Tusiyumbishwe MUSA atatuvusha.
 
Nilipita juzi maeneo ya Kariakoo nikaona wamachinga wamejaa jazba kama sio munkari au mhemko. Walikuwa wanasema, "Ukiweka gogo ligombee kwa tiketi ya UKAWA ligombee na mgombea wa CCM, sisi tualichagua gogo! Sisi kwa sasa ni Lowasa tu, hatuoni wala hatusikii lingine!" Nikaona kweli watu wamefika mbali.
 
hivo ndivo ilivo yani as long as lowassa anagombea uraisi ata yy akisema anahama anaenda Tadea tutampigia kura huko huko yani tupo nae kama luba...wenye wivu mjinyonge tu hamna jinsi lowassa raisi
 
Nilipita juzi maeneo ya Kariakoo nikaona wamachinga wamejaa jazba kama sio munkari au mhemko. Walikuwa wanasema, "Ukiweka gogo ligombee kwa tiketi ya UKAWA ligombee na mgombea wa CCM, sisi tualichagua gogo! Sisi kwa sasa ni Lowasa tu, hatuoni wala hatusikii lingine!" Nikaona kweli watu wamefika mbali.

Mkuu mimi kuna ostadhi aliniambia ukimwekea Ccm na mbuzi katoliki atachagua mbuzi katoliki nikaamini watu wamechoka na hii hali ya kujirudia rudia ya watu wale wale wenye sura zile zile tofauti ni umri tu.
 
Katika hali ya kuchoshwa na ubinafsi siasa za kibabe na kifalme ndani ya CCM.

Na maisha mabovu kwa nchi yetu ndani ya miaka 54 ya uhuru.

Leo hii hata Mbowe na Mbatia wakiondoka UkKAWA kwa njia yeyote ile.Iwe kama Slaa au Lipumba walivyoondoka,mimi nitaendelea kumwamini Lowassa mpaka mwisho wa shughuli na kura yangu nitampigia.

Kwa msisitizo hata wamnunue Lissu na Mnyika na ikatokea Sumaye akafanya kama Said Nkumba kura yangu kwa Babu Duni na Lowassa ipo pale pale.

Na huo ndio msimamo wangu, naombeni na wana mabadiliko wote tusimamie hilo kwa dhati kabisa.

Tusiyumbishwe MUSA atatuvusha.

Mkuu huo ndio msimamo wa watanzania wote kwa sasa,kura zetu ni kwa kowasa,kwani ndio tumaini pekee
 
Back
Top Bottom