Elections 2015 Freeman Mbowe atoa msimamo mzito kuhusu wanaoasi mageuzi

Una nchi wewe?loliondo ilishauzwa wewe bado upo usingizini.Hujitambui ndiyo tatizo.Shukuru shule za kata za lowasa

Kwenye mafanikio hapakos pingamiz, na msafala wa mamba kenge hawakosi, kama yesu alikuja kukimboa wanadamu lakini ndani ya hao wanadamu wakamsaliti yuda na pilato, ila alipo kufa wengne wakasema hakika huyu alikuwa mwana wa mng, he!!! Inashangaza sana goja wachukuwe nchi uone, ww hapo hata hutaongea utajuta yote haya unayoyatamka saiv, maana hujijuwi, tupo ambao hatubadiliki....
 
Jumanne, Dr. Slaa alitoa hoja nzito zilizohusiana na kukeukwa kwa taratibu la LOWASSA kukaribishwa Chdema na Ufisadi wa Lowassa. Jambo la kushangaza, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Aikaeli Mbowe akiwa kwenye mkutano wa Kampeni huko Sumbawanga, kaibuka na MAJIBU MEPESI kwelikweli, kwamba CHADEMA ni kama treni ya kwenda Kigoma, abiria wanashuka na wengine kupanda vituoni. Kauli hii ya Mbowe inaamanisha, Dr. Slaa ameshuka na Lowassa amepanda. Hii kauli ya Mbowe ni sawa, lakini anasahau kuwa Kwenye treni siyo Abiria tu wanaopanda, bali hata VIBAKA.
Kwa Slaa kuondoka CHADEMA na Lowassa kuingia, ni sawa na Treni Kushusha abiria halali na kupandisha KIBAKA
 

Wewe utakuwa unaandamana kutokea upande upi kuelekea upande upi?
 

mwandishi

balile na kupenei at work.
 
Sumu ya mende aliyopulizia dr slaa; lazima kila mende atatoka. Kaanza mbatia, rostam, sasa mbowe.


Oct lini , tufunge gufuri au tufungue kufuri
 
Tutasikia na kuona mengi hivi sasa na zaidi baada ya uchaguzi. Tuvute subira.
 

Aliwataja baadhi ya watakaokuwa katika vikosi hivyo kuwa ni aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbles Lema, aliyekuwa Mbunge wa Ubungo, John Mnyika, aliyekuwa Mbunge wa Nyamagana, Ezekiah Wenje, aliyekuwa Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi na aliyekuwa Mbunge wa Kawe, Halima Mdee na yeye mwenyewe.

Mbona hakuna UKAWA hapa. Wote hao ni Chadema hili changa la macho.
 
8 Basi akainuka mfalme mpya kutawala Misri, asiyemjua Yusufu.

9 Akawaambia watu wake, Angalieni, watu wa wana wa Israeli ni wengi tena wana nguvu kuliko sisi.

10 Haya! Na tuwatendee kwa akili, wasije wakaongezeka; tena, ikitokea vita, wao nao wasije wakashikamana na adui zetu na kupigana nasi, na kutoka katika nchi hii.

11 Basi wakaweka wasimamizi juu yao wawatese kwa mizigo yao. Nao wakamjengea Farao miji ya kuwekea akiba, Pithomu na Ramesesi.

12 Lakini kwa kadiri ya walivyowatesa ndivyo walivyoongezeka na kuzidi kuenea. Nao walichukiwa kwa sababu ya wana wa Israeli.
 
Mbele kwa mbele.

Slaa aendelee kula Mihogo. Siku akizinduka atakuta tayari Lowassa ndiye Amiri jeshi mkuu wa majeshi yote Tanzania.
 
slaa anakipaji cha aina yake, kukubali kuacha ukatibu mkuu wa chama chake na kuwa kondomu ya magamba hicho ni kipaji.
 

Mapovu yana mtoka
 

Dr Slaa ameibuka kuvuruga ili watu waache kufanya kampeni wahangaike naye. Mbowe ameligundua hilo, wacheni tusonge mbele.
 

Chadema ni ya wanachama wote hata anayeingia leo ana haki sawa kwa ushahidi huu;

Slaa mwenyewe sio mwanzilishi, alihama kutoka CCM na alikaribishwa bila masharti na akafikia kuwa Katibu

Tutumie akili, mtu mmoja au wawili wakijitoa kwa kutokubaliana na wengi kwenye vyombo halali vya chama au muungano,kipi bora wawaache waende na wao waendelee au wafanye nini??

Kwa wanademokrasia hamuogopi mtu anayetoa masharti magumu kwa wenzake wanaotaka kujiunga na chama, unaposema mtu aje na wabunge,wenyeviti na makatibu hiyo ni kwa katiba ipi??

Kila mtu anahaki ya kikatiba kujiunga na chama chochote bila mashrti na ana haki ya kugombea na kuchaguliwa uongozi.
 
Mi namkubali sana Mh Mbowe kwa sababu yeye huwa anaangalia maslahi ya chama kwanza. Alipoona kwamba kwa wakati huo Slaa alikuwa na influence, alimwachia agombee na chama kikapiga hatua kubwa. Kwa sasa amesimama na Lowassa, naamini mtashuhudia maajabu yake OCtober 25. Kuna watu ni educated but not intelligent!
 

Imeaminishwa hivyo kuwa Chadema ni ya wanachama, ila hao wanachama au mashabiki wamewekwa kwa mtaji tu wa

watu flan flan. Ndio maana hata ukirudi nyuma kwa wale waliojitoa Chadema mwanzoni wakina ZZK na wenzie hili ndio

lilikuwa tatizo kubwa la Chadema, yaani hamna free of speech, mwenyekiti anaangalia maslahi yake na ya watu wake basi

wanafanya maamuzi.

ZZK alijaribu kuhoji baadhi ya vitu vya msingi akaonekana ni msaliti. Kwa vile wengi tumeichoka CCM ndio maana vitu vya

msingi kama hivi tunajifanya hatuvioni, lakini hatujui madhala gani makubwa yatakuja kutokea mbeleni tukiikabidhi nchi

kwa kikundi flan cha watu.
 
kwa kweli waacheni. wamezidi sasa, silaaaaaaaaaaaaaa, zitooooooooo, kitilaaaaaaaa,
ila kwa slaa du! aliposhushwa zitto alicheka mbaya, sasa naye kashukia pale nguruka kwenye samaki ale samaki ili akipata gari lingine arudi dar, hahaahah
 

Ndugu yangu - maneno yako yanakidhi sheria ya mitandao???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…