Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kauli ya kikakamavu mno !-
“...Tunamwambia DPP asipende kuwatisha viongozi wakiwemo viongozi wa CHADEMA...tunaweza kuongea ndani ya Bunge na nje ya Bunge..sisi hatuogopi mashitaka ya DPP wala hatuogopi kifungo cha mtu yoyote”.Mhe.Mbowe.