Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYEREREMwamba amesema wamevumilia sasa wamechoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYEREREMwamba amesema wamevumilia sasa wamechoka
Huna akili kibwengo mkubwa. Hata JK
kwakweli CCM na police wanapata tabu sana kutoka wa FreemanDah makengeza anawapelekesha na mawazo potofu, poleni sana.
Matusi na uchawi ndio silaha pekee ya masikiniDah makengeza anawapelekesha na mawazo potofu, poleni sana.
Tumechoka na maigizo yenu ,
Hivi kulialia na kutoa matamko ndiyo ahadi yenu kwa wananchi??
Kutwa kulialia utafikiri ni mtoto wa mwisho aliyebemendwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani Erythrocyte kuna watu wanaudhi. Kwa ufupi mwenyekiti wenu hakuna kitu, yaani hata kuunga mkono kutoa tahadhari ya COVID19 kwa watanzania hakuna, anaishia kuhamasisha mikusanyiko???? Poleni sana kwa kuwa na kiongozi asiyekuwa na maono.Matusi na uchawi ndio silaha pekee ya masikini
#MWAMBA TUVUSHE
Mpaka muda huu mwenyekiti wa ccm akiwa anaelekea morogoro kila baada ya km25 anatengeneza mikusanyiko, sasa sijui korona ni kwa ajili ya mikusanyiko ya chadema tu?Mbowe bhana anajua kabisa mikusanyiko imezuiwa kwa ajili ya kudhibiti Corona lakini yeye anatangaza mikutano mwezi ujao!
Mbowe anazidi kupungukiwa uwezo wa kufikiri!! Au pia washauri wake ni useless!!
Kutangaza mikutano ya hadhara kwenye kipindi hiki ni uwendawazimu.
Mkipigwa mnalialia majeshi yanawaonea!! Kweli kwa tension ya Corona nyie mnataka muendeshe mikutano!!?? You ain't serious
Sent using Jamii Forums mobile app
Matusi yangu anayajua mama Danpol!Kuna watu mnapenda kutafutia watu dhambi, nimekutukana matusi yote unayo yajua na usiyo yajua , wasted sperm
Sent using Jamii Forums mobile app
Zaidi ya samahani huko kwingine nimepuuza , hivi kiongozi asiye na maono akaunti zake zinafungwa ?Samahani Erythrocyte kuna watu wanaudhi. Kwa ufupi mwenyekiti wenu hakuna kitu, yaani hata kuunga mkono kutoa tahadhari ya COVID19 kwa watanzania hakuna, anaishia kuhamasisha mikusanyiko???? Poleni sana kwa kuwa na kiongozi asiyekuwa na maono.
Hizo ni propaganda mkuu, kikubwa elewa hakuna taasisi ya fedha inayotaka kuingia kwenye mgogoro wa ML.Zaidi ya samahani huko kwingine nimepuuza , hivi kiongozi asiye na maono akaunti zake zinafungwa ?
Mh. Mbowe muhuni sana, anajua kabisa kuna COVID 19 ila anahamasisha uvunjifu wa amani, yaani hajasikika hata akitoa tahadhari juu ya COVID 19, yaani kweli Mh. Mbowe ni zaidi ya Mr. Zero