Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kauli ya kikakamavu mno !-
“...Tunamwambia DPP asipende kuwatisha viongozi wakiwemo viongozi wa CHADEMA...tunaweza kuongea ndani ya Bunge na nje ya Bunge..sisi hatuogopi mashitaka ya DPP wala hatuogopi kifungo cha mtu yoyote”.Mhe.Mbowe.
Magereza hata uniform zao zimepauka kwa ajili ya kutelekezwa na CCM lakini bado wanajikomba tu!-
“Mimi nikiwa jela kule nikiwa shambani zimepigwa risasi zaidi ya 13,za moto,wanapambana na Halima Mdee, Ester Bulaya, na Jesca Kishowa,hawa ni wamama,hata katika sheria za magereza wanaoruhusiwa kushughulika na wanawake ni wanawake tu,lakini hapa ni wanaume wenye vifua,wenye silaha,wanamshughulikia Halima wamemuweka mtu kati”.Mhe.Mbowe.
Nenda kakague daraja MorogoroTumechoka na maigizo yenu ,
Hivi kulialia na kutoa matamko ndiyo ahadi yenu kwa wananchi??
Kutwa kulialia utafikiri ni mtoto wa mwisho aliyebemendwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
hiyo tarehe 4/4 aanze yeye kufanya mikutano aone atakavyochakaa
Mungu mbariki Mbowe"Natangaza rasmi kuwa kuanzia mwezi ujao wa nne tutaanza kufanya mikutano ya hadhara nchi nzima bila kujali kuna katazo la Rais Magufuli na tuko tayari kwa lolote, tumekuwa waungwana vya kutosha na sasa hatutarudi nyuma kwenye hili'' - Freeman Mbowe
nikajua upo msafara wa kukagua madarajaMbowe bhana anajua kabisa mikusanyiko imezuiwa kwa ajili ya kudhibiti Corona lakini yeye anatangaza mikutano mwezi ujao!
nawaambia subirini mtaona huyo atawaambia waanze yeye hafanyi mikutano nyie migwe mpaka mchakae dadekiShut up
Don't make a promise you can't fulfill...