walikuomba?sasa kama hawaogopi jela mbona walikuwa wanalia wachangiwe watoke?
hujui kitu , Masikini wee !sasa kama hawaogopi jela mbona walikuwa wanalia wachangiwe watoke?
Kimenuka !“..Kuanzia tarehe 4 April hatutasubiri kibali cha mtu yoyote tutaanza mikutano nchi nzima, na kwa kauli nawatangazia viongozi wote wa Chadema tuanze kufanya mikutano ya hadhara...tukidai vitu viwili,Tume huru ya Uchaguzi na maandalizi ya uchaguzi”.Mbowe.
Uzuri mpaka uchagani walishawastukia uongo wenu, kauli yake haina tofauti na kauli ya mlevi kutishia nitakufumua huku mwenyewe hata kusimama hawezi. Taasisi anayoishutumu ni kubwa kuliko mtu na haitalegeza msimamo wa kulinda amani.“..Kuanzia tarehe 4 April hatutasubiri kibali cha mtu yoyote tutaanza mikutano nchi nzima, na kwa kauli nawatangazia viongozi wote wa Chadema tuanze kufanya mikutano ya hadhara...tukidai vitu viwili,Tume huru ya Uchaguzi na maandalizi ya uchaguzi”.Mbowe.
Ni utapeli wa kisiasaMbowe bhana anajua kabisa mikusanyiko imezuiwa kwa ajili ya kudhibiti Corona lakini yeye anatangaza mikutano mwezi ujao!
Uzuri mpaka uchagani walishawastukia uongo wenu, kauli yake haina tofauti na kauli ya mlevi kutishia nitakufumua huku mwenyewe hata kusimama hawezi. Taasisi anayoishutumu ni kubwa kuliko mtu na haitalegeza msimamo wa kulinda amani.
Hua hamuoni mbali,soma hapa:Hotuba imejaa majigambo, chuki binafsi kwa serikali, viashiria vya ukabila na uvunjifu wa amani. Hakuna mkakati mbadala wa kisera aliouzungumzia zaidi ya tambo za kufanya mikutano na kulalamika badala ya kujikita kwenye sera mbadala ambazo wapinzani wanaziamini. Pia kadanganya kuhusu akina Halima. Kwa hotuba hii CCM ni chama pekee kinaendelea kubaki na mikakati mathubuti ya kuinua uchumi wa watanzania.
Kuna watu mnapenda kutafutia watu dhambi, nimekutukana matusi yote unayo yajua na usiyo yajua , wasted spermMbowe bhana anajua kabisa mikusanyiko imezuiwa kwa ajili ya kudhibiti Corona lakini yeye anatangaza mikutano mwezi ujao!
serikali ya awamu ya 5 98% ni wasukuma kwanini?Hotuba imejaa majigambo, chuki binafsi kwa serikali, viashiria vya ukabila na uvunjifu wa amani. Hakuna mkakati mbadala wa kisera aliouzungumzia zaidi ya tambo za kufanya mikutano na kulalamika badala ya kujikita kwenye sera mbadala ambazo wapinzani wanaziamini. Pia kadanganya kuhusu akina Halima. Kwa hotuba hii CCM ni chama pekee kinaendelea kubaki na mikakati mathubuti ya kuinua uchumi wa watanzania.
Dah makengeza anawapelekesha na mawazo potofu, poleni sana.Kuna watu mnapenda kutafutia watu dhambi, nimekutukana matusi yote unayo yajua na usiyo yajua , wasted sperm
Sent using Jamii Forums mobile app