Pre GE2025 Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwenye sanduku la kura

Pre GE2025 Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwenye sanduku la kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbowe anatupa quotes za marahemu kina Churchill. Mbowe hivi ile office yao Mikocheni walinunua kwa nani?Mbowe bwana go straight to the point. Unagombea.
Mbowe anatuambia amefanya risechi, risechi yenyewe ni kuingia gugo na kuandika "reconciliation quotes" halafu anashindwa kuzitafsiri kwa usahihi kwa kiswahili😌
 
Mbowe Acha ulaghai, Sema wazi kuwa haupo tiyari kuachia Chama kwa mtu mwingine tujue moja, Sisi Siyo watoto wadogo kwani Hilo limeonekana muda mrefu sana wala hapakuwa na sababu ya kusubiria saa 48 wala kuita press conference, Umekubali CHADEMA ifie mikononi mwako mwenyewe.
 
Halafu unajiona mjanja kwa kuandika pumba za mpunga hapa. Taabu kwelikweli.
Lissu angepigwa risasi angekuwa keshakufa kitambo na wale waliompiga wangekuwa unknown killers.
Habari iliyopo ni Bashite ndiye alimtwanga risasi Lissu, Bashite huyo huyo ni nyoka wa mjwere...

Bahati mbaya kwako hujui kuwa Lissu na Mbowe wote ni mapandikizi ya mkwere.

Ninapokuambia kuwa hakuna upinzani bongo jiongeze kuelewa.
 
Wakati wowote kuanzia sasa Mhe Freeman Mbowe kutoa tamko rasmi la ama atagombea Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa ama laa.

Mtakumbuka Mhe Freeman Mbowe ameitumikia nafasi hii kwa zaidi ya miongo miwili sawa na miaka 21 mfululizo.

Endapo atatangaza kugombea tena atakuwa ni mgombea wa nne nyuma ya Tundu Lissu na Odero Odero,

Je, kama Taifa tunatarajia nini kutoka Upinzani kuelekea 2025?

Usiondoke hapa Jf kwa habari zaidi

=======================================

  • Freeman Mbowe ameanza kuhutubia wanaCHADEMA muda huu
  • Mbowe amesema kuwa hoja zinazoendelea kuwa maridhiano hayakuwa na faida ni hoja potofu


View: https://www.youtube.com/live/8WGa7Xv3hKo?si=JjooipgRmN035_2F

Speech ya hovyo kabisa
 
Back
Top Bottom