Pre GE2025 Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwenye sanduku la kura

Pre GE2025 Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwenye sanduku la kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa hotuba yake inayoendelea tuliosoma Cuba tumeshaelewa msimamo wake, hivyo angeacha kupotezea watu muda kwa kuwahubiria watu mambo wanayoyajua. He should be objective, precise and focused.
Anagombea.Maana anamuongelea Angela wa Ujerumani kuwa alikaa muda mrefu kwenye uongozi.Anasema hajazeeka na ana nguvu ya kufanya mikutano mingi tu.
 
Tulia dogo demokrasia ifanye kazi yake. Si watu wameruhusiwa kugombea? Akishindwa kwa kura ataachia chama, hofu ya nini?
Mbowe Acha ulaghai, Sema wazi kuwa haupo tiyari kuachia Chama kwa mtu mwingine tujue moja, Sisi Siyo watoto wadogo kwani Hilo limeonekana muda mrefu sana wala hapakuwa na sababu ya kusubiria saa 48 wala kuita press conference, Umekubali CHADEMA ifie mikononi mwako mwenyewe.
 
Wakati wowote kuanzia sasa Mhe Freeman Mbowe kutoa tamko rasmi la ama atagombea Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa ama laa.

Mtakumbuka Mhe Freeman Mbowe ameitumikia nafasi hii kwa zaidi ya miongo miwili sawa na miaka 21 mfululizo.

Endapo atatangaza kugombea tena atakuwa ni mgombea wa nne nyuma ya Tundu Lissu na Odero Odero,

Je, kama Taifa tunatarajia nini kutoka Upinzani kuelekea 2025?

Usiondoke hapa Jf kwa habari zaidi

=======================================

  • Freeman Mbowe ameanza kuhutubia wanaCHADEMA muda huu
  • Mbowe amesema kuwa hoja zinazoendelea kuwa maridhiano hayakuwa na faida ni hoja potofu


View: https://www.youtube.com/live/8WGa7Xv3hKo?si=JjooipgRmN035_2F

Mwelekeo wa hotuba tayari tushaujua.

Jamaa anachukua fomu na anagombea.

Kwaheri CHADEMA.
 
Wakati wowote kuanzia sasa Mhe Freeman Mbowe kutoa tamko rasmi la ama atagombea Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa ama laa.

Mtakumbuka Mhe Freeman Mbowe ameitumikia nafasi hii kwa zaidi ya miongo miwili sawa na miaka 21 mfululizo.

Endapo atatangaza kugombea tena atakuwa ni mgombea wa nne nyuma ya Tundu Lissu na Odero Odero,

Je, kama Taifa tunatarajia nini kutoka Upinzani kuelekea 2025?

Usiondoke hapa Jf kwa habari zaidi

=======================================

  • Freeman Mbowe ameanza kuhutubia wanaCHADEMA muda huu
  • Mbowe amesema kuwa hoja zinazoendelea kuwa maridhiano hayakuwa na faida ni hoja potofu


View: https://www.youtube.com/live/8WGa7Xv3hKo?si=JjooipgRmN035_2F

Hili ni pepo mchafu kabisa
 
Back
Top Bottom