Mbowe anatuambia amefanya risechi, risechi yenyewe ni kuingia gugo na kuandika "reconciliation quotes" halafu anashindwa kuzitafsiri kwa usahihi kwa kiswahili😌Mbowe anatupa quotes za marahemu kina Churchill. Mbowe hivi ile office yao Mikocheni walinunua kwa nani?Mbowe bwana go straight to the point. Unagombea.
Si ndio aondoke sasa aachie wengine
Anawajenga kwanza kisaikolojia, anajua atawachota baadhi! Baada ya hapo anaenda kwenye lengo maalumu!Si ndio aondoke sasa aachie wengine
Mimi nipo nyumbani kwake hata sauti haisikiki vizuri ndio naondoka tu hapa naona njaa imezidi maana toka asubuhi sijanywa chai🐼Hadi Saa nane hii bila bila?
Mnaifuatilia huko vipi updates?
Kwa mbwembee hizi nahisi bado hataki kutema tongeTunataka kusoma, BREAKING NEWS/News alert: Mbowe aachia ngazi, hatagombea uenyekiti CHADEMA, ashukuru waliomuunga mkono wakati wote kukijenga chama
Mbona hakusema mapema?Acha kumsingizia marehemu kufanikisha ulaghai WAKO WW MBOWE MUOGOPE MUNGU
Lissu angepigwa risasi angekuwa keshakufa kitambo na wale waliompiga wangekuwa unknown killers.
Habari iliyopo ni Bashite ndiye alimtwanga risasi Lissu, Bashite huyo huyo ni nyoka wa mjwere...
Bahati mbaya kwako hujui kuwa Lissu na Mbowe wote ni mapandikizi ya mkwere.
Ninapokuambia kuwa hakuna upinzani bongo jiongeze kuelewa.
Anagombea .Akigombea tena atakuwa ni mamluki
Speech ya hovyo kabisaWakati wowote kuanzia sasa Mhe Freeman Mbowe kutoa tamko rasmi la ama atagombea Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa ama laa.
Mtakumbuka Mhe Freeman Mbowe ameitumikia nafasi hii kwa zaidi ya miongo miwili sawa na miaka 21 mfululizo.
Endapo atatangaza kugombea tena atakuwa ni mgombea wa nne nyuma ya Tundu Lissu na Odero Odero,
Je, kama Taifa tunatarajia nini kutoka Upinzani kuelekea 2025?
Usiondoke hapa Jf kwa habari zaidi
=======================================
- Freeman Mbowe ameanza kuhutubia wanaCHADEMA muda huu
- Mbowe amesema kuwa hoja zinazoendelea kuwa maridhiano hayakuwa na faida ni hoja potofu
View: https://www.youtube.com/live/8WGa7Xv3hKo?si=JjooipgRmN035_2F
Kwahiyo aendelee kuwa chairman🤣🤣🤣Nilichogundua Mbowe is nice guy ishi Sana Mbowe.