1. Anatonge mdomoni
2. Kuna roho inamwambia meza na kuna roho inamwambia tema
3. Hilo tonge liko kooni nungu kumeza ngumu kutema
Mitano tena kwa mbowe 😁😁
Ndo adui mwombee njaa....CHADEMA lazima ipasuke lazima,
Kuna mabishano yeye anataka kujiondoa ,ila balile na wenzake wanamwambia wewe gombea sisi tutakulinda na polisi yetu
Mbowe àkiacha uenyekiti hawa machawa wake watapoteana.Ngoja Erythrocyte na Retired Waje wakujibu mkuu sema jamaa ni mrafi wa madaraka.
Unafikiri kuachia kiti ulichokikalia kwa miaka 20+ ni Jambo jepesi? Hata kama ingekuwa ni wewe mkuu
Kama hajali muda, anathubutu vipi kutaka kushindana na mtu anayejali muda?
Haja zake ni dhaifu sana huko alipo anapangilia mambo yake
Mbowe hii siku hawezi kuisahau kwenye maisha yake..Akitowa msimamo wa kugombea ndio tutajuwa kuwa wale wabunge 19 wana baraka zake zote na kweli zile pesa za mtoto wa Rais wetu alizikula
Ukishaona TBC, Clouds tv, Channel ten na Ayo TV wako mubashara lazima utamjua Boss wake 😄
Kweli?Ukishaona TBC, Clouds tv, Channel ten na Ayo TV wako mubashara lazima utamjua Boss wake 😄
Wale wa ku cashout mda ndo huu odd zinacheza sana
Naamini ataachia kiti kwa afyaya wanachadema