Pre GE2025 Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwenye sanduku la kura

Pre GE2025 Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwenye sanduku la kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Binafsi namwomba mh. Mbowe aje na tamko la kutogombea ili tuuone upinzani wenye radha miaka mijayo kupitia chama hiki hiki kilichojengwa kwa jasho na damu ya watanzania wapenda mabadiriko ya kweli na sio hizi mbio wanazofanya CCM.
Ni muda muafaka wa kuexperience kwenye uongozi watu wenye mawazo mapya, nguvu mpya, morale kubwa na ushindani wa kweli na sio experience ya kulialia na kutegemea huruma ya mtawala wakati yeye haukunei huruma
 
Binafsi namwomba mh. Mbowe aje na tamko la kutogombea ili tuuone upinzani wenye radha miaka mijayo kupitia chama hiki hiki kilichojengwa kwa jasho na damu ya watanzania wapenda mabadiriko ya kweli na sio hizi mbio wanazofanya CCM.
Ni muda muafaka wa kuexperience kwenye uongozi watu wenye mawazo mapya, nguvu mpya, morale kubwa na ushindani wa kweli na sio experience ya kulialia na kutegemea huruma ya mtawala wakati yeye haukunei huruma

Kweli kabisa mkuu. Hicho ndicho tunachotaka.
 
🤔🤔🤔🤔
IMG-20241221-WA0001.jpg
 
Back
Top Bottom