Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kafie kwenu..Kuhusu mambo ya Chadema tusijuane tena. Nitarudi kama Lissu atashinda
Nenda nenda pumbavu kabsaaBrother!
Sikuwa na chama ila nilikuwa nahisi pengine upinzani unaweza kuweka mambo sawa hapa nchini, kumbe nilikuwa sipo sahihi!
Kwa hali hiyo, naenda kuendelea na usajili wa CCM.
Kuna Mzee mmoja rafiki wa baba yangu yupo huko Nec sijui wenyewe wanaitaje hao CCM huwa ananiambia nijiunge nichukue kadi.
Sasa naenda kuchukua kadi ya CCM.
Wewe siyo chadema na hujui umuhimu wa Mhe. Freeman kwenye kuboresha siasa za upinzaniKuanzia leo nasitisha uanachama wangu Chadema hadi siku Lissu akitangazwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Chadema. Naijutia michango yangu ya hali na mali niliyotoa kwa chama hiki.
We angalia tu wanaomsapoti Mbowe ndio wale ambao Lissu amewatuhumu kupokea hongo.Una uhakika wajumbe wapiga-kura wako upande gani? Usikute mpaka hapo ana uhakika wa kushinda kwa 99%!
Wajumbe wengi wa huko ni Undercovers, unatarajia wataweza kumpiga chini mtu wao?Nimeamini watu wepesi sana , ndo maana huwa wanajinyonga, sasa kura kupigwa bado eti unakimbia chama , huo ni upumbavu , we unafikili wajumbe hawajui cha kufanya?
Anzishen chama chenu kama zitoWengi huiunga mkono CHADEMA kwa akili za kushikiwa. Sio siku nyingi mtajua kuwa mlipoteza muda kuwaamini wasioaminika.
Na bado hadi wazimieIle dhana ya CHADEMA NI SACCOS yatimia, wananchi wapigwa butwaa
Mungu ni mwemaLazima agombee tena
Na bado mpaka mjambeKwa style hii CCM waendelee tu kuongoza
Mkuu nenda mapema kabisa ikiwezekana nilipie gharama za bolt hadi ofisi za Lumumba. Huku upinzani hakuna future tena kama ndio tuna viongozi walafi hivi.Brother!
Sikuwa na chama ila nilikuwa nahisi pengine upinzani unaweza kuweka mambo sawa hapa nchini, kumbe nilikuwa sipo sahihi!
Kwa hali hiyo, naenda kuendelea na usajili wa CCM.
Kuna Mzee mmoja rafiki wa baba yangu yupo huko Nec sijui wenyewe wanaitaje hao CCM huwa ananiambia nijiunge nichukue kadi.
Sasa naenda kuchukua kadi ya CCM.
Wakati wowote kuanzia sasa Mhe Freeman Mbowe kutoa tamko rasmi la ama atagombea Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa ama laa.
Mtakumbuka Mhe Freeman Mbowe ameitumikia nafasi hii kwa zaidi ya miongo miwili sawa na miaka 21 mfululizo.
Endapo atatangaza kugombea tena atakuwa ni mgombea wa nne nyuma ya Tundu Lissu na Odero Odero,
Je, kama Taifa tunatarajia nini kutoka Upinzani kuelekea 2025?
Usiondoke hapa Jf kwa habari zaidi
=======================================
- Freeman Mbowe ameanza kuhutubia wanaCHADEMA muda huu
- Mbowe amesema kuwa hoja zinazoendelea kuwa maridhiano hayakuwa na faida ni hoja potofu
View: https://www.youtube.com/live/8WGa7Xv3hKo?si=JjooipgRmN035_2F
Jaman anzishen chama chenu kama zito shida ipo wap?Mkuu pole.
Umechelewa sana kugundua tamaa za Mwenyekiti.
Kumbuka mjadala wetu miaka ile.
Msingemchekea wakati ule nadhani leo msingeteseka.
Hakuna kitu kigumu kwenye siasa kama kumbandua dikteta madarakani.
Ndiyo na wewe anzisha Sacco's yakoChadema ni Saccos ya familia ya mbowe na baba mkwe wake.