Pre GE2025 Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwenye sanduku la kura

Pre GE2025 Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwenye sanduku la kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Brother!

Sikuwa na chama ila nilikuwa nahisi pengine upinzani unaweza kuweka mambo sawa hapa nchini, kumbe nilikuwa sipo sahihi!

Kwa hali hiyo, naenda kuendelea na usajili wa CCM.

Kuna Mzee mmoja rafiki wa baba yangu yupo huko Nec sijui wenyewe wanaitaje hao CCM huwa ananiambia nijiunge nichukue kadi.

Sasa naenda kuchukua kadi ya CCM.
Nenda nenda pumbavu kabsaa
 
Kama ni hivi CCM wataendelea kutuchezea sana, anakuja mmoja kama Kikwete anatulegezea Demokrasia tunajiona tumefanya progress, halafu wanatuletea mwingine kama Magufuli anatuvuruga halafu in between kanakuja kamama kanasema tufanye maridhiano this game will go on forever..

Kwa siasa hizi anazosema Mbowe CCM itakaa madarakani forever labda itokee miujiza au kwa pressure ya mtutu au civil disobedience.
 
Brother!

Sikuwa na chama ila nilikuwa nahisi pengine upinzani unaweza kuweka mambo sawa hapa nchini, kumbe nilikuwa sipo sahihi!

Kwa hali hiyo, naenda kuendelea na usajili wa CCM.

Kuna Mzee mmoja rafiki wa baba yangu yupo huko Nec sijui wenyewe wanaitaje hao CCM huwa ananiambia nijiunge nichukue kadi.

Sasa naenda kuchukua kadi ya CCM.
Mkuu nenda mapema kabisa ikiwezekana nilipie gharama za bolt hadi ofisi za Lumumba. Huku upinzani hakuna future tena kama ndio tuna viongozi walafi hivi.
 
Wakati wowote kuanzia sasa Mhe Freeman Mbowe kutoa tamko rasmi la ama atagombea Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa ama laa.

Mtakumbuka Mhe Freeman Mbowe ameitumikia nafasi hii kwa zaidi ya miongo miwili sawa na miaka 21 mfululizo.

Endapo atatangaza kugombea tena atakuwa ni mgombea wa nne nyuma ya Tundu Lissu na Odero Odero,

Je, kama Taifa tunatarajia nini kutoka Upinzani kuelekea 2025?

Usiondoke hapa Jf kwa habari zaidi

=======================================

  • Freeman Mbowe ameanza kuhutubia wanaCHADEMA muda huu
  • Mbowe amesema kuwa hoja zinazoendelea kuwa maridhiano hayakuwa na faida ni hoja potofu


View: https://www.youtube.com/live/8WGa7Xv3hKo?si=JjooipgRmN035_2F

Chadema ni Saccos ya familia ya mbowe na baba mkwe wake.
 
Back
Top Bottom