Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hiki kikosi Mchengerwa atakosekana kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
magufuli as a killer, likewise his successor! alikuwa hasingiziwi. He was a Killer!Doh! Bado watu wanayatimba tu. Walisemaga mwendazake na sasa hayupo sijui watamsingizia nani tena.
Umefunga mjadala mkuu. Barikiwa sana!Wengi wanateteta kuwa sio Samia bali vijakazi wake ila wazungu husema 'Silence means consent', ukimya daima huchukuliwa kuwa ni ridhaa. Samia yupo kimya kuashiria ameridhia haya yote yatokee.
Kwa kila ovu linalofanyika nchini kwa sasa, ni kwa ridhaa ya Samia.
Umemaliza yote mkuu wangu. Yote ni maagizo toka No 1 mwenyewe.Wengi wanateteta kuwa sio Samia bali vijakazi wake ila wazungu husema 'Silence means consent', ukimya daima huchukuliwa kuwa ni ridhaa. Samia yupo kimya kuashiria ameridhia haya yote yatokee.
Kwa kila ovu linalofanyika nchini kwa sasa, ni kwa ridhaa ya Samia.
Mbowe kawataja kwa jina moja moja.Mkuu ukiacha Mafwele tunataka majina ya Wahusika wote
Ni muhimu hao watu watu tukafahamiana nao ili tukikutana tusaliamiane nao.Mbowe kawataja kwa jina moja moja.
Mbona yeye hajatekwa“Kama Chama tumechunguza kutoka vyanzo vyetu vya ndani na vingine vya ndani ya Jeshi la Polisi na Vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama, nitaeleza kwa kifupi tulichogundua na tunaowaonyooshea vidole ili Polisi na hao wengine watusute watuambie Mbowe mnasema uongo, uchunguzi wetu unatupeleka wapi? moja kuna kitu kwenye Kanda Maalum ya Dar es saalam kinaitwa Task Force ya Ulinzi na Usalama, Task Force hii iliundwa ikishirikisha Wadau kutoka Jeshi la Polisi, Usalama wa Taifa na hata JWTZ, katika hatua ya baadaye Jeshi la Wananchi liliondoka katika oparesheni hii, na Task Force hii ilipoundwa kwa mara ya kwanza iliundwa kama Kikosi maalum cha kupambana na wizi ambacho kinasimamiwa na ZCO ambaye sasa hivi anayeongoza Ofisi hiyo anaitwa ASP Faustin Mafwele huyu ndio Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Kanda Maalum ya Dar es salaam ambaye anasimamia Kikosi hiki”
“Oparesheni centre ya kikosi hiki ipo nyuma ya Kituo cha Polisi Chang’ombe na mtambue Kikosi hiki hakiingiliwi na mfumo wa kawaida wa utawala wa Polisi kwahiyo hakifanyi kazi ndani ya Vituo vya Polisi, nyuma ya Kituo cha Polisi cha Chang’ombe kuna kambi ya Kikosi hiki na imezungushiwa uzio wa mabanzi pale ndani wanateswa Watu, wanaumizwa Watu, wanafinywa Watu pale ndio mateso ya Watanzania wanapopitia”
“Kwa taarifa tulizonazo kwa mwaka huu na sehemu ya mwaka jana, wapo Watanzania zaidi ya 200 hawajulikani walipo na mambo haya ni mwendelezo wa maelekezo ya Viongozi wa Serikali ambao huko nyuma walipaswa kusema shughulikeni nao”
Soma Pia: Freeman Mbowe: Viongozi wa CHADEMA na Watanzania wasio na Vyama wanaoendelea kutekwa na Vyombo vya Usalama vya Nchi yetu
“Sisi kama Chama tumesema tuyaseme haya kwa sauti ili yasikike zaidi, utekaji huu umeambatana na mauaji, awali waliokuwa wanauawa kienyeji walikuwa wanapelekwa mochwari, wengine kama Sativa walipelekwa pori la Katavi wakaliwe na Fisi kwasababu wanasema Katavi ndio pori lenye Fisi wakali ambao hata mfupa wanautafuna kama biskuti, Mungu hakupenda akamwokoa, Sativa alikamatwa na kikosi hiki na Mafwele anajua na kikosi hiki ndicho kimemkamata Soka, Mlay na Mbise”
Yeye ndiye mrithi wake...kumbuka walikuwa pamoja yeye akiwa ndiye msaidizi mkuu. Ndege wafananao huruka pamoja!Doh! Bado watu wanayatimba tu. Walisemaga mwendazake na sasa hayupo sijui watamsingizia nani tena.
Ni kweli ndio maana nasema walikua wanamsingizia ila mambo yao waliyafanya kwa pamoja. LAKINI KWA SABABU NI MAMBO MABAYA ALIPOTANGULIA MWENZAO WAANZA KUJITENGA NA MATENDO MABAYA WALIOFANYA PAMOJA.Yeye ndiye mrithi wake...kumbuka walikuwa pamoja yeye akiwa ndiye msaidizi mkuu. Ndege wafananao huruka pamoja!
Maza mikono yake imejaa damu.Wengi wanateteta kuwa sio Samia bali vijakazi wake ila wazungu husema 'Silence means consent', ukimya daima huchukuliwa kuwa ni ridhaa. Samia yupo kimya kuashiria ameridhia haya yote yatokee.
Kwa kila ovu linalofanyika nchini kwa sasa, ni kwa ridhaa ya Samia.