Umemaliza yote mkuu wangu. Yote ni maagizo toka No 1 mwenyewe.
 
Mbona yeye hajatekwa
 
Doh! Bado watu wanayatimba tu. Walisemaga mwendazake na sasa hayupo sijui watamsingizia nani tena.
Yeye ndiye mrithi wake...kumbuka walikuwa pamoja yeye akiwa ndiye msaidizi mkuu. Ndege wafananao huruka pamoja!
 
Yeye ndiye mrithi wake...kumbuka walikuwa pamoja yeye akiwa ndiye msaidizi mkuu. Ndege wafananao huruka pamoja!
Ni kweli ndio maana nasema walikua wanamsingizia ila mambo yao waliyafanya kwa pamoja. LAKINI KWA SABABU NI MAMBO MABAYA ALIPOTANGULIA MWENZAO WAANZA KUJITENGA NA MATENDO MABAYA WALIOFANYA PAMOJA.
 
Kuna watu walikunywa wine na konyagi kushangilia kifo cha rais Magufuli na kusema sasa nchi itatulia sababu kaipokea mama leo kiko wapi kushangilia mtu alie madarakani kwenye nchi yenye mfumo mbovu kama Tanzania ni ujinga wa mwisho sasa leo Magufuli anaishi?Ndani ya miaka miwili tayari wakosoaji wa serikali 200 washapotezwa hii sio mchezo..
 
Amesikika mheshimiwa Mbowe akimshauri mkuu wa serikali ya CCM.

1. Kwamba aunde timu ya kijaji kutafuta suluhisho la watu kupotea.

2. Kwamba awasikilize wamasai badala ya kuwashurutisha.

Kwani ni kipi wasichokijua CCM hapo?

Hawa si ndiyo wenye uthubutu wa kujiita vyura viziwi?

Atausikia vipi ushauri wa sauti kiziwi, achilia mbali chura?

Hawa si wa kushauri bali wa kukabili head on!
 
Maza mikono yake imejaa damu.
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…