CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,921
- 3,474
Ina maana sisi hatuna akili.ccm tunaijua vizuri sana kuliko wewe unaepewa bk SabaNadhani kidd2014 anawapoteza, Ndio anaye waambia hayo Mambo ilimradi waharibu Uchaguzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina maana sisi hatuna akili.ccm tunaijua vizuri sana kuliko wewe unaepewa bk SabaNadhani kidd2014 anawapoteza, Ndio anaye waambia hayo Mambo ilimradi waharibu Uchaguzi
“Kuna uvurugwaji wa kutisha wa Daftari la wapiga kura. Mamilioni ya wapiga kura hewa & maelfu ya vituo bandia. Wapiga kura wengi wapinzani wamehamishwa vituo au kuondolewa kwa makusudi. NEC itoe maelezo & suluhisho haraka la sivyo uchaguzi huu utashindikana kuanzia hatua ya awali”. Freeman Mbowe.
“There’s massive BVR manipulation. Millions of ghost voters & polling stations; misplaced & or missing of “chosen” legitimate voters! NEC must come out with explanation & mitigating strategy. Anything short will electrify this country and render the election impossible ab-initio”. Freeman Mbowe.
Hii ni kauli ya Mwenyekiti wa chama baada ya ukimya wa muda mrefu, naona kazi yenyewe karibu inaanza.
kama mwenyewe hauna maendeleo kwenye fikra zako unataka nini tena???Kwanini wajumbe walimkata mbunge wangu Dr Harrison Mwakyembe kama kweli CCM maendeleo sio shida?Pumbavu kabisa ,jini la kijani weweMbowe acha kuweweseka sisi Watanzania tumewachoka Chadema hatuwataki
Majimbo tuliwachagua mmetuchelewesha maendeleo, tunarudi kuichagua Ccm wanaotujali
If so, it confirms that Zanzibar is a Tanganyika's colonial satellite.Kuna video mitandaoni inaonyesha wanajeshi wamesambazwa mitaani huko Zanzibar.
Wewe hujui kwamba kuna wanafunzi wengi wa shule za serikali za sekondari wenye umri chini ya miaka 18 wamepewa vitambulisho vya kupigia kura?Millions of polling stations? Mbona hajataja vijulikane?
Wameanza kutafuta defense mechanism!
Sijui aisee, ndiyo nasikia kwako fafanua!Wewe hujui kwamba kuna wanafunzi wengi wa shule za serikali za sekondari wenye umri chini ya miaka 18 wamepewa vitambulisho vya kupigia kura?
Mimi napinga uonevu ndugu. Na nina akili timamu.Kigoma kuna Mtu nasikia amechanganyikiwa baada ya mbinu zake kuvulugwa. Mkakati wake ulikuwa ni kutumia fedha kutengeneza nyomi kwenye Mkutano, kwa kuuagiza uongozi wa kata wa Act wazalendo kuhakikisha wanapatawwatu wasiopungua 100 na kila mmoja alipwe hongo kuanzia 5,000 hadi 10,000 .
Lengo lake likiwa ni kuwaadaa Wanakigoma kwamba anakubalika wakati Hali halisi anajua kwamba Kigoma wamemchoka.
Na baada ya kuona amefeli mbinu ikambidi aanze kampen ya nyumba kwa nyumba ambako pia amekataliwa (Watu wanamsikiliza lakini Lengo likiwa ni kupata kianzio.
NB: ZITTO KABWE AANZE KUPAPARIKA MPAKA MIRADI ALIYOENDA BENKI YA DUNIA KUSHINIKIZA ISITEKELEZWE TANZANIA ANAJITAPA KUWA NDIYE ALIYEITEKELEZA. ZITTO KABWE KIGOMA WAMEKUKATAA TAFUTA SHUGHULI NYINGINE.
ZITTO KABWE MIRADI YAKO YOTE IPO ZANZIBAR, WAKE WAKE WOTE WAPO ZANZIBAR NA DAR ES SALAAM, ZITTO KURA AMEJIANDIKISHA JIMBO LA KIGOMA KASKAZINI, MAWAKALA WAKE AMEWACHUKUA KIGOMA KASKAZINI AKIDAI WA KIGOMA MJINI HAWAAMINI WAKATI ANAWATUMIA KUOMBA KURA.
KWA UJUMLA ZIGO AMECHANGANYIKIWA VIBAYA SAAANA
Sisi na nani panya weweee?? Sema wewe!!! Pumbavu....Mbowe acha kuweweseka sisi Watanzania tumewachoka Chadema hatuwataki
Majimbo tuliwachagua mmetuchelewesha maendeleo, tunarudi kuichagua Ccm wanaotujali
Juliana Shonza ktk ubora wake"last kicks of a dying horse..."
Nafikiri wewe ndio mpuuzi mtu kuandika kingereza anashitaki?Chadema wapuuzi sana, so hicho kingereza mnamshitakia nani?
Kwenye uchaguzi huu hata ccma watatamani Tume ingekuwa huru..Wakati unasaini fomu za kugombea hukuyaona hayo?
Uwoga wa kushindwa ni mbaya kama dudu kushindwa kusimama Kwa demu, uanaume woote kwishine,
Ndicho Chadema kimewashika
Kwa Kura za mitandaoni tu ni kweli mbeligiji AtashindaKwenye uchaguzi huu hata ccma watatamani Tume ingekuwa huru..
Hamtaamini macho yenu kwa ujinga uliokomaa kwenye vichwa vyenu
Viongozi wa dini wengi ni wapumbavu,wajinga kila mtu mwenye akili yake timamu anawazalauHi imejaa ujinga mwingi sana. Bila shaka hii itakuwa LAANA YA BABA WA TAIFA. Nimefuatilia maneno ya Viongozi wa Dini kwenye Kampeni za Magufuli wanachoomba ni MAGUFULI AWE RAIS...What a non-sense? Badala ya kuombea Uchaguzi uwe Huru na Haki na kuiombea NEC itende haki bila upendeleo wao wanalaani Wapinzani kuwa ndio watasababisha vurugu...Akili za matope!!
“Kuna uvurugwaji wa kutisha wa Daftari la wapiga kura. Mamilioni ya wapiga kura hewa & maelfu ya vituo bandia. Wapiga kura wengi wapinzani wamehamishwa vituo au kuondolewa kwa makusudi. NEC itoe maelezo & suluhisho haraka la sivyo uchaguzi huu utashindikana kuanzia hatua ya awali”. Freeman Mbowe.
“There’s massive BVR manipulation. Millions of ghost voters & polling stations; misplaced & or missing of “chosen” legitimate voters! NEC must come out with explanation & mitigating strategy. Anything short will electrify this country and render the election impossible ab-initio”. Freeman Mbowe.
Hii ni kauli ya Mwenyekiti wa chama baada ya ukimya wa muda mrefu, naona kazi yenyewe karibu inaanza.