Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila Vituo hewaMpaka sasa ubao wa matangazo unasoma iv View attachment 1609336
Huu upuuzi umeutoa wapiMpaka sasa ubao wa matangazo unasoma iv View attachment 1609336
Nawewe kumbe ni mpiga kura hewa tu. Kwani uwezo wa kutumia lugha kujibu mitihani au kuandika paper utaenda na uwezo wa lugha kweny kuongea? Ni vitu viwil tofauti kabisa.
Mashuleni tumekuwa na watu wanauwzo mkubwa kujieleza kwa hiyo lugha ya kigeni lakini uwezo wao academically ulikua hafifu, na wapo walikua na uwezo mdogo kutumia hiyo lugha kujieleza na walikua na performance nzuri kabisa
“There’s massive BVR manipulation. Millions of ghost voters & polling stations; misplaced & or missing of “chosen” legitimate voters! NEC must come out with explanation & mitigating strategy. Anything short will electrify this country and render the election impossible ab-initio”. Freeman Mbowe.
Hii ni kauli ya Mwenyekiti wa chama baada ya ukimya wa muda mrefu, naona kazi yenyewe karibu inaanza.
Waambie NEC waache michezo yao ya kishamba kuwabeba kama midoli.Hahahahahaa propaganda hizi, mshashindwa tayari! Kura zote ni kwa ccm!
Kigoma kuna Mtu nasikia amechanganyikiwa baada ya mbinu zake kuvulugwa. Mkakati wake ulikuwa ni kutumia fedha kutengeneza nyomi kwenye Mkutano, kwa kuuagiza uongozi wa kata wa Act wazalendo kuhakikisha wanapatawwatu wasiopungua 100 na kila mmoja alipwe hongo kuanzia 5,000 hadi 10,000 .
Lengo lake likiwa ni kuwaadaa Wanakigoma kwamba anakubalika wakati Hali halisi anajua kwamba Kigoma wamemchoka.
Na baada ya kuona amefeli mbinu ikambidi aanze kampen ya nyumba kwa nyumba ambako pia amekataliwa (Watu wanamsikiliza lakini Lengo likiwa ni kupata kianzio.
NB: ZITTO KABWE AANZE KUPAPARIKA MPAKA MIRADI ALIYOENDA BENKI YA DUNIA KUSHINIKIZA ISITEKELEZWE TANZANIA ANAJITAPA KUWA NDIYE ALIYEITEKELEZA. ZITTO KABWE KIGOMA WAMEKUKATAA TAFUTA SHUGHULI NYINGINE.
ZITTO KABWE MIRADI YAKO YOTE IPO ZANZIBAR, WAKE WAKE WOTE WAPO ZANZIBAR NA DAR ES SALAAM, ZITTO KURA AMEJIANDIKISHA JIMBO LA KIGOMA KASKAZINI, MAWAKALA WAKE AMEWACHUKUA KIGOMA KASKAZINI AKIDAI WA KIGOMA MJINI HAWAAMINI WAKATI ANAWATUMIA KUOMBA KURA.
KWA UJUMLA ZIGO AMECHANGANYIKIWA VIBAYA SAAANA
Ukiona mtu amesoma hadi PhD halafu hawezi kuongea kiingereza cha form two ujue ana tatizo la akili.wapumbavu wengi hudhani kujua english ndo kua smart kichwani
Shithole countries with shithole leaders toNchi hizi ziitwazo shithole zina maudhi sana. Kama hawataki kutoka madarakani kwa njia ya uchaguzi, wanafanya uchaguzi wa nini. Watoke kwenye udikteta uchwara wawe madikteta kamili ijulikane.
Yesu ni Bwana na Mwokozi.
Ni utindio wa ubongo.Ukiona mtu amesoma hadi PhD halafu hawezi kuongea kiingereza cha form two ujue ana tatizo la akili.
Magu hawezi elewa hicho kiingereza labda umuwekee dictionary nne na awe amelewa
Hao wanajeshi nawahurumia sana uko zanzibar. Maana kwanza ni kisiwani. Kipigo watakachopata sijui wataweza kupiga mbizi kurudi bara!Kuna video mitandaoni inaonyesha wanajeshi wamesambazwa mitaani huko Zanzibar.