Kasunguranyama
JF-Expert Member
- Feb 12, 2020
- 499
- 368
Kweli we ni bia yenuHuu uwongo wa Chadema mwisho wao ni October
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli we ni bia yenuHuu uwongo wa Chadema mwisho wao ni October
“There’s massive BVR manipulation. Millions of ghost voters & polling stations; misplaced & or missing of “chosen” legitimate voters! NEC must come out with explanation & mitigating strategy. Anything short will electrify this country and render the election impossible ab-initio”. Freeman Mbowe.
Hii ni kauli ya Mwenyekiti wa chama baada ya ukimya wa muda mrefu, naona kazi yenyewe karibu inaanza.
Intelligence = Intelligence. Mastering English after learning it for a large number of years is certainly a measure of intelligence. The issue, though, is to disprove that the evidence shown above signifies ghost voters. Does it not?I hope one day you will understand that "English is a Language and not a measure of Intelligent"
“There’s massive BVR manipulation. Millions of ghost voters & polling stations; misplaced & or missing of “chosen” legitimate voters! NEC must come out with explanation & mitigating strategy. Anything short will electrify this country and render the election impossible ab-initio”. Freeman Mbowe.
Hii ni kauli ya Mwenyekiti wa chama baada ya ukimya wa muda mrefu, naona kazi yenyewe karibu inaanza.
Safari hii kishakwama
Kikinuka wewe wa kwanza kukutafutaChadema mmeanza visingizio!
Nani wa kukinukisha?Kikinuka wewe wa kwanza kukutafuta
Na mwisho wa uongo wa NEC ni lini.Huu uwongo wa Chadema mwisho wao ni October
Nawewe kumbe ni mpiga kura hewa tu. Kwani uwezo wa kutumia lugha kujibu mitihani au kuandika paper utaenda na uwezo wa lugha kweny kuongea? Ni vitu viwil tofauti kabisa.What kind of Intelligent are you talking about? Can you really understand things without knowing the language of study/ learning??
You must be kidding!!
Kamanda kama hujakwenda kuhakiki unategemea nini?
Kigoma kuna Mtu nasikia amechanganyikiwa baada ya mbinu zake kuvulugwa. Mkakati wake ulikuwa ni kutumia fedha kutengeneza nyomi kwenye Mkutano, kwa kuuagiza uongozi wa kata wa Act wazalendo kuhakikisha wanapatawwatu wasiopungua 100 na kila mmoja alipwe hongo kuanzia 5,000 hadi 10,000 .Tz inaangamizwa na kikundi cha waovu wachache, lakini siku zao zaja.
Kwahiyo nafasi yangu ndio apewe mkenya.Kamanda kama hujakwenda kuhakiki unategemea nini?
Hiki tu ndio mnachokiweza!Magu hawezi elewa hicho kinglish labda umuwekee dictionary nne na awe amelewa
ZEC wanaratibu mambo ya Rais wa Zanzibar na baraza la wawakilishi. NEC ndiyo yenye jukumu la uchauzi JMT na wabunge wa muunganoKwani Zanzibar hawapigi kura za JMT.
Kenya haina maana ya nchi, inaweza ikawa hata mtaa huko walipo waoKwahiyo nafasi yangu apewe mkenya.
Mimi nipo nje ya nchiKwa hiyo mkuu unashauri Nini kifanyike
Acheni wizi nyie mliokataliwa na wananchi.Mbowe acha kuweweseka sisi Watanzania tumewachoka Chadema hatuwataki
Majimbo tuliwachagua mmetuchelewesha maendeleo, tunarudi kuichagua Ccm wanaotujali