Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msikae mkachekelea,siku violence ikiwa the only option wote tutkuwa kwenye wakati mgumu!Kwa kura mtasubiri Sana wapinzani
Poleni kwa kuchoka kwa kampeni
100% wabunge na madiwani ni CCM
Rais 95 %
Kama kura inaweza kuitoa CCM madarakani basi Maalim Sefu angekua Rais Tangu 19 95
Poleni
Tuache siasa
Turudi kwenye maisha yetu ya kawaida
Kweli nawaonea huruma waliopoteza muda na pesa kwenye IMPOSSIBLE MISSION!!
I wish mgemsikiliza polepole kuhusu uchaguzi huru
Suala ni kutuiza mshono tu.... NEC na ZEC wanakwenda kuumbuka vibaya mno mbele ya macho ya watanzania.Kwani Mbowe ni mkiti wa Zanzibar tu, use your common sense.
Mkuu tuheshimiane sijakutukana sawa, na sio wote tunapenda matusi mm nimemquote huyo jamaa aliyesema, sio watu wote wa aina moja kupenda kujibizana au matusiTrump n bwana ako kwn ukitukwana na Trump we unaumia nn
CCM haitatoka madarakani kwa kuraMsikae mkachekelea,siku violence ikiwa the only option wote tutkuwa kwenye wakati mgumu!
Mwaka huu mtajua hamjui Kwani Mbowe ni mkiti wa Zanzibar tu, use your common sense.
Magu hawezi elewa hicho kinglish labda umuwekee dictionary nne na awe amelewa
Kwa hiyo mkuu unashauri Nini kifanyikePoleni Sana wapinzani
Sijui mtajifunza lini...
Huu ni uchaguzi wa 6 wa viama vingi kila mtu anajua Mara zote 5 CCM hatujawahi kushinda Zanzibar na tumeongoza miaka yote
Wallah nilikua nawaonea huruma mnavyojazana kwenye mikutano ya kampeni
Twendeni hivyo hivyokwaiyo Bora tususie Uchaguzi Au
Nani kakwambia hawajaenda NEC mbona unakuwa kama hujaenda shule.Huo ni Uongo na propaganda feki, isitoshe kwa ushahidi ulio wazi kiasi hicho kwa nini wasiende Tume ya Uchaguzi moja kwa moja wanakimbilia twira?
Japo hupendi kuelewa ukweli lakni ukweli humuweka mtu sehem salama. Endeleeni na uhuni wenu mwisho WA maji ni tope.Hii ni aibu kwa chama chetu,mwenyekiti analalama bila ya ushahidi?
Kwahiyo we we huoni na ushahidi kila mmoja anaona. Nikipi ulichokuwa huamini?By the 28th of this month, Chadema will have fabricated more than 1.M, za uwongo kuhusu uchaguzi huu
And those are false reasons Since Mbowe himself is not sure in his constituency
Mimi nilijua tu, Kwa mwelekeo walionao Chadema tangu mwanzoni tu wa Kampeni zao na jinsi walivyokuwa na matamanio makubwa zaidi kuliko uhalisia, lazima walete mizengwe ya uwongo tu, vile wanajua kuna Beberu aliyeko nyuma Yao
Lengo Lao sio uchaguzi tena
Nani kakwambia hawajaenda NEC mbona unakuwa kama hujaenda shule.