- Thread starter
- #81
CCM bila matusi hamna chama kimebakwa na serikali.Mbowe anapumulia tundu moja,... Hali imekuwa ngumu kwake[emoji3] [emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM bila matusi hamna chama kimebakwa na serikali.Mbowe anapumulia tundu moja,... Hali imekuwa ngumu kwake[emoji3] [emoji3]
Mkuu haya mambo yanakera ndiyo ukute watu wanakesha kusema tunaomba amani huku wakiacha HAKI ijipotelee.Kama mtu hakwenda kurekebisha ndio mkenya apewe nafasi yake.
Kwani Zanzibar hawapigi kura za JMT.
Huoni hata picha mkuu.Chadema mmeanza visingizio!
Tarajia mawakala wa upinzani kuchomolewa vituoni kwa mitutu na polisi.
Halafu kuna watu wako proud kutetea ujinga huu.Mkuu haya mambo yanakera ndiyo ukute watu wanakesha kusema tunaomba amani huku wakiacha HAKI ijipotelee.
Lori lililobeba kura zilizopigwa nafikiri umeliona.Kuna video mitandaoni inaonyesha wanajeshi wamesambazwa mitaani huko Zanzibar.
Ulitaka wasambazwe mgambo auKuna video mitandaoni inaonyesha wanajeshi wamesambazwa mitaani huko Zanzibar.
"Chadema will have fabricated more than 1.M,"By the 28th of this month, Chadema will have fabricated more than 1.M, za uwongo kuhusu uchaguzi huu
And those are false reasons Since Mbowe himself is not sure in his constituency
Mimi nilijua tu, Kwa mwelekeo walionao Chadema tangu mwanzoni tu wa Kampeni zao na jinsi walivyokuwa na matamanio makubwa zaidi kuliko uhalisia, lazima walete mizengwe ya uwongo tu, vile wanajua kuna Beberu aliyeko nyuma Yao
Lengo Lao sio uchaguzi tena
Safari hii kishakwamaMagufuli ni mvurugaji manipulator mzoefu wa uchaguzi toka enzi akiwa mbunge huko biharamulo na badae chato.
Hii tabia kwake ni kama aliyekula nyama ya binadamu. Sidhani kama ataiacha.
Mzoea vya kunyonga vya kuchinja hawezi. Subirini badi mtaendelea kuona uhuni mwingi uchaguzi huu.
Endeleeni kucheza na amani.Sasa kama alimaanisha Zanzibar kwa nini amesema (Mbowe) ,, mamilioni ya wapiga kura hewa '''? Zanzibar mamilioni ya wapiga kura yanatokea wapi wakati idadi ya Wazanzibari wote haifiki milioni1.5?
Ivi ndo Mana Trump alitutukana kwa sababu ya Mambo Kama haya etiNchi hizi ziitwazo shithole zina maudhi sana. Kama hawataki kutoka madarakani kwa njia ya uchaguzi, wanafanya uchaguzi wa nini. Watoke kwenye udikteta uchwara wawe madikteta kamili ijulikane.
YESU NI BWANA NA MWOKOZI
Kwaiyo Bora tususie Uchaguzi AuNEC ipo ajili ya kuifurahisha CCM
Trump n bwana ako kwn ukitukwana na Trump we unaumia nnIvi ndo Mana Trump alitutukana kwa sababu ya Mambo Kama haya eti
Mwaka huu mtajua hamjui Kwani Mbowe ni mkiti wa Zanzibar tu, use your common sense.Weka ushahidi hapa kama Zanzibar ina zaidi ya wapiga kura kura milioni 1, ...
Mkuu haya mambo yanakera ndiyo ukute watu wanakesha kusema tunaomba amani huku wakiacha HAKI ijipotelee.
hakuna kususa ni kupambana tu na haya majambawazi ya mchana mchana. Safari hii ni kubwaga mboga ili wote tulumangie.kwaiyo Bora tususie Uchaguzi Au