Matokeo lazima yasainiwe na wakala sasa hivi vituo hewa mawakala wa chadema watapatikanaje?Wanaweweseka hawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matokeo lazima yasainiwe na wakala sasa hivi vituo hewa mawakala wa chadema watapatikanaje?Wanaweweseka hawa
This time watashika adabu kende kwa kende jicho kwa jicho wezi wakubwa mwaka huu wanang'oka“There’s massive BVR manipulation. Millions of ghost voters & polling stations; misplaced & or missing of “chosen” legitimate voters! NEC must come out with explanation & mitigating strategy. Anything short will electrify this country and render the election impossible ab-initio”. Freeman Mbowe.
Hii ni kauli ya Mwenyekiti wa chama baada ya ukimya wa muda mrefu, naona kazi yenyewe karibu inaanza.
Unataka ushahidi wote uwekwe JF,Hii ni aibu kwa chama chetu,mwenyekiti analalama bila ya ushahidi?
CHADEMA hali mbaya.
Mkuu nimeona hapo juu kuna picha ya mzee aliyezaliwa 2001. Yahani mzee ana miaka 19.Chadema mmeanza visingizio!
We mwendawazimu hujui kama vyama vimekabidhiwa orodha ya wapiga kura?Nadhani kidd2014 anawapoteza, Ndio anaye waambia hayo Mambo ilimradi waharibu Uchaguzi
Mbowe anapumulia tundu moja,... Hali imekuwa ngumu kwake[emoji3] [emoji3]"last kicks of a dying horse..."
Tarajia mawakala wa upinzani kuchomolewa vituoni kwa mitutu na polisi.Bila kuwa na mawakala kila kituo na kutumia orodha iliyobandikwa kila kituo kutatokea udanganyifu mkubwa
Kila wakala ni lazima awe na nakala ya matokeo halisi kwenye kila kituo
Mbowe anaweweseka nini angalia mpiga kura Mkenya hapo......hili daftari mmelichezea mpaka basi......mkuu jiandaeMbowe acha kuweweseka sisi Watanzania tumewachoka Chadema hatuwataki
Majimbo tuliwachagua mmetuchelewesha maendeleo, tunarudi kuichagua Ccm wanaotujali
Kama mtu hakwenda kurekebisha ndio mkenya apewe nafasi yake.Ndio maana ilitolewa nafasi ya Wananchi kwenda kurekebisha taarifa ili hayo yasitokee. kama hukwenda kurekebisha taarifa zako hakuna wa kulaumiwa.
Kwani Zanzibar hawapigi kura za JMT.Kwa nini unaweka mambo ya Tume ya uchaguzi ya Zanzibar?
Mmmmm! Kama kawaida yako!Mbowe acha kuweweseka sisi Watanzania tumewachoka Chadema hatuwataki
Majimbo tuliwachagua mmetuchelewesha maendeleo, tunarudi kuichagua Ccm wanaotujali
"Measure of intelligence"[emoji818]I hope one day you will understand that "English is a Language and not a measure of Intelligent"
Why are you flooding our JF servers with your nonsense comments?Vyama vingi havitafutwa ila Chadema ndio itafutika
Ni bora hashim rungwe awe Rais kuliko yule aliyetumwa na Mabeberu kutoka ubeligiji