Kibwengo
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 6,826
- 5,302
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hizi simujanja zina dictionary mkuu.Magu hawezi elewa hicho kinglish labda umuwekee dictionary nne na awe amelewa
Hali hii unatokana na kutokuaminika kwa TUME iliyopo. Ili kuondoa hali hiyo muundo wa TUME unatakiwa uridhiwe na wadau wengi wa uchaguzi yaani kuwe na Tume ambayo kila Chama kitakuwa na Imani nayo kimuundo.By the 28th of this month, Chadema will have fabricated more than 1.M, za uwongo kuhusu uchaguzi huu
And those are false reasons Since Mbowe himself is not sure in his constituency
Mimi nilijua tu, Kwa mwelekeo walionao Chadema tangu mwanzoni tu wa Kampeni zao na jinsi walivyokuwa na matamanio makubwa zaidi kuliko uhalisia, lazima walete mizengwe ya uwongo tu, vile wanajua kuna Beberu aliyeko nyuma Yao
Lengo Lao sio uchaguzi tena
Ndiyo maana hawezi kwenda Ulaya ni aibu snMagu hawezi elewa hicho kinglish labda umuwekee dictionary nne na awe amelewa
Wakati unasaini fomu za kugombea hukuyaona hayo?Hali hii unatokana na kutokuaminika kwa TUME iliyopo. Ili kuondoa hali hiyo muundo wa TUME unatakiwa uridhiwe na wadau wengi wa uchaguzi yaani kuwe na Tume ambayo kila Chama kitakuwa na Imani nayo kimuundo.
Si unaona Mbowe kaandika kiingereza anawaandikia wazunguMbowe acha kuweweseka sisi Watanzania tumewachoka Chadema hatuwataki
Majimbo tuliwachagua mmetuchelewesha maendeleo, tunarudi kuichagua Ccm wanaotujali
umewachoka chadema wewe na mmeo?!.Mbowe acha kuweweseka sisi Watanzania tumewachoka Chadema hatuwataki
Majimbo tuliwachagua mmetuchelewesha maendeleo, tunarudi kuichagua Ccm wanaotujali
Maneno matupu... Mzee wa kubadili gia angani anaona jimbo halielewek urais ndo hamna kabsa!!.. hana pa kushika,, sasa hapa kizunguzungu tayar kimempanda!! Sjuw kujitoa,,!! Bora vurugu tu...“There’s massive BVR manipulation. Millions of ghost voters & polling stations; misplaced & or missing of “chosen” legitimate voters! NEC must come out with explanation & mitigating strategy. Anything short will electrify this country and render the election impossible ab-initio”. Freeman Mbowe.
Hii ni kauli ya Mwenyekiti wa chama baada ya ukimya wa muda mrefu, naona kazi yenyewe karibu inaanza.
Ulitaraji wapiga kura hewa milions wote awaandike Twitter, use your common sense.No research no right to speak! Sijui wenzetu mnakwama wapi! Kwa nafasi kubwa hivyo ya Mkt wa Chadema Taifa nilitegemea aje na orodha ya wapiga kura hewa au vituo hewa!! Sasa mbona unalialia baba bila data?? Naishauri TUME mtu akiwashutumu aje na Data na akiwa muongo ashughulikiwe kwa mujibu wa sheria maana analeta taharuki isiyokuwa ya msingi na anataka kuichafua nchi.
Queen Esther
Tz inaangamizwa na kikundi cha waovu wachache, lakini siku zao zaja.
“There’s massive BVR manipulation. Millions of ghost voters & polling stations; misplaced & or missing of “chosen” legitimate voters! NEC must come out with explanation & mitigating strategy. Anything short will electrify this country and render the election impossible ab-initio”. Freeman Mbowe.
Hii ni kauli ya Mwenyekiti wa chama baada ya ukimya wa muda mrefu, naona kazi yenyewe karibu inaanza.
Basi kigogo ni ana nguvu kumzidi rais kawaambia hadi NEC waharibu daftari na wakamsikiliza.Nadhani kidd2014 anawapoteza, Ndio anaye waambia hayo Mambo ilimradi waharibu Uchaguzi
I hope one day you will understand that "English is a Language and not a measure of Intelligent"
Takatakaa ya lumumba katika uboraHuu uwongo wa Chadema mwisho wao ni October
Yaani inatia huruma kuona Ccm ina kufa vibaya hivyo. Yaani hadi kujiandaa kushinda kwa hila ni aibu kuu.CCM mbele kwa mbele
Kwa style hii