Uchaguzi 2020 Freeman Mbowe: Kuna mamilioni ya wapigakura hewa na kuna vituo vingi hewa, bila NEC kurekebisha hakutakuwa na uchaguzi

Uchaguzi 2020 Freeman Mbowe: Kuna mamilioni ya wapigakura hewa na kuna vituo vingi hewa, bila NEC kurekebisha hakutakuwa na uchaguzi

“Kuna uvurugwaji wa kutisha wa Daftari la wapiga kura. Mamilioni ya wapiga kura hewa & maelfu ya vituo bandia. Wapiga kura wengi wapinzani wamehamishwa vituo au kuondolewa kwa makusudi. NEC itoe maelezo & suluhisho haraka la sivyo uchaguzi huu utashindikana kuanzia hatua ya awali”. Freeman Mbowe.

“There’s massive BVR manipulation. Millions of ghost voters & polling stations; misplaced & or missing of “chosen” legitimate voters! NEC must come out with explanation & mitigating strategy. Anything short will electrify this country and render the election impossible ab-initio”. Freeman Mbowe.

Hii ni kauli ya Mwenyekiti wa chama baada ya ukimya wa muda mrefu, naona kazi yenyewe karibu inaanza.


Nilijia tu kwa kichapo na mafuriko ya JPM Mkoa wa Kilimanjaro jana na leo Arusha, husasani cha jana kule jimboni kwa DJ Hai, lazima leo waje na uzushi smart wa kutaka kuleta taharuki kwa wapiga kura kama kawaida yao wazee wa Ufipa. Wananchi wameshaamua kuchagua maendeleo ya kweli kwa JPM kubalini Basi mambo yaishe. Kama watu hamuwawezi unganeninao. #ukowapi Slaa chama kinamfia DJ ukuu#
 
Typing error zipo mkuu, ukiangalia kwa makini hizo ni taarifa sio za kwenye kadi moja kwa moja, zimeprintiwa ktk karatasi sambamba na picha ya mtu hivyo kuna uwezekano wamekosea kutype na kuprint...
Kinachotakiwa ni kusahihisha hayo makosa.
 
Mbowe acha uchochezi, tuhuma unazo zitoa ziwasilishe kwenye Tume ya Uchaguzi, acha kusambaza uchochezi ktk mitandao.
Hai maji yamefika shingoni
 
Hi imejaa ujinga mwingi sana. Bila shaka hii itakuwa LAANA YA BABA WA TAIFA. Nimefuatilia maneno ya Viongozi wa Dini kwenye Kampeni za Magufuli wanachoomba ni MAGUFULI AWE RAIS...What a non-sense? Badala ya kuombea Uchaguzi uwe Huru na Haki na kuiombea NEC itende haki bila upendeleo wao wanalaani Wapinzani kuwa ndio watasababisha vurugu...Akili za matope!!
Bagonza na Mwamakula na sasa Ponda huwa wanaomba Lisu awe nani?
 
Bia yetu umebadili tena ID na jina, unachokitetea muogope Mungu, mnapowaambia wengine wapige trh 27, na wengine 28 lkn wakae mita 200 mbali, kwanini ninyi wenyewe mbebe masanduku kabla mnaenda jumlishia wapi? kura zote zibandikwe vituoni na mhesabu km CCM walivyofanya kila wakala ashike zake, hata km hayupo mwakilishi akamatiwe
Nyie endeleeni kudanganywa na msaliti wa Nchi Lissu
Mwambieni na msaliti wa Nchi Lissu azundue km anaweza
1603463110846.png
 
Ni majira ya mchana hivi inaonekana uwanja umeinama kabisa yaani mpaka sasa ufipa wanatafuta mpira kwa tochi yaani hali ni mbaya.

Hayo yanathibitisha na maneno ya uzamili na uchochezi na ya kuwajaza watanzania uongo yaliyoandikwa na Mwenyekiti wa CDM katika ukurasa wake wa Twitter

Mbowe analalamika kwa NEC sasa kuna maswali ya kujiuliza juu ya mamalamiko yake ya uongo na kinafiki katika mtandao wa Twitter

TUJIULIZE

NEC inawezaje kuwatambua wapinzani waliojiandikisha kwenye daftari la kidumu la wapiga kura mpaka iwahamishe?
Kwani wakati wa kujiandikisha tulikuwa tunauizwa itikadi za vyama?
Acheni sababu za hovyo, jiandaeni kuachia majimbo hayo maana kwenye nafasi ya Urais hampati hata 15%

Yaani nasema katika uchaguzi huu kama Lissu akipata kura 2000 mbele ya Magufuli akatambike
 
Mimi nimejiakiki kupiga kura kwa kutumia database ya Tume ..cha kushangaza nakaa Kagera kituo nimepelekwa Tunduru.....sitapiga kura kwani siwezi kwenda Tunduru
 
Intelligence = Intelligence. Mastering English after learning it for a large number of years is certainly a measure of intelligence. The issue, though, is to disprove that the evidence shown above signifies ghost voters. Does it not?
Probably it is according to your lowest degree of thinking capacity & this justify that your thinking capacity is below human standard.
 
What kind of Intelligent are you talking about? Can you really understand things without knowing the language of study/ learning??
You must be kidding!!
Is English our National language ? Do you think that Magufuli to speak broken english is a justification of his Intelligence ? Think twice
 
Nec wamewajuaje hao wapinzani hadi wawaengue???

Wacha tuendelee na swaga la ACT na CHADEMA😁😁😁
 
Uchaguzi usiwepo kisa Mbowe kasema?

Kama wanasusia wakae pembeni tu nayo ni kielelezo cha demokrasia pia.

Kama alivyomwambia Dr Slaa 2015,"Time and tides wait for nobody".
 
Mimi nimejiakiki kupiga kura kwa kutumia database ya Tume ..cha kushangaza nakaa Kagera kituo nimepelekwa Tunduru.....sitapiga kura kwani siwezi kwenda Tunduru
Ulihakiki taarifa wapi?
 
Nec wamewajuaje hao wapinzani hadi wawaengue???

Wacha tuendelee na swaga la ACT na CHADEMA[emoji16][emoji16][emoji16]
Mabalozi waliendesha zoezi la kuandika majina ya wanachama wa CCM na watu ambao hawaoneshi mapenzi na upinzani na namba za kadi zao za mpigakura. Zoezi liliendeshwa nchi nzima
 
Mabalozi waliendesha zoezi la kuandika majina ya wanachama wa CCM na watu ambao hawaoneshi mapenzi na upinzani na namba za kadi zao za mpigakura. Zoezi liliendeshwa nchi nzima
Mabalozi gani mkuu? Au Unamaanisha wajumbe
 
Back
Top Bottom