Freeman Mbowe kuzungumza na Taifa Ijumaa, Januari 10, 2025

Kupitia mikononi mwa Mbowe sio hoja ya kufanya Mbowe aendeleea kuwa mwenyekiti.Hata akiwa nje ya uongozi anaweza kufanya watu wapitie Bado mikononi mwake.Achia kiti Mbowe bila kuingia kwenye box ili uheshimike zaidi.
 
Bora atangaze kustaafu uenyekiti ili aendelee juwa na heshima. Ukiona viongozi wenzako wanampigia chapuo makamu wako ufahamu kuwa imani kwako imekwisha.
Ni kwel. Maana hata ukishinda ,utafanyaje nao kazi hali wamekuonyesha kuwa wanataka kufanya kazi na mtu mwingine na sio wewe?
 
Mbowe ni pandikizi la ccm lililo lewa madaraka kama maccm.
Sasa kama mwamba ni pandikizi, hata Lissu akishinda, si inamaana kwamba jamaa atakua bado anapenyeza info kwa ccm maana bado atabaki kwenye inner circle za cdm!!
 
Sasa hapa mbowe anafanya kampeni au nini? Naona anaishia tu kumponda na kumsigina lissu tu
 
Hi ni aibu kuandika upupu huu! hakuna ata mmoja anaekuunga mkono ata kwenye comment!
 
Anazungumzia kundi lao la whatsaap lilianzishwa na wenje members wakiwa ni wenje, yeye, lema, msigwa, mnyika, lissu, anasema aliomba kujitoa kutokana kipindi kigumu alichopitia cha kupoteza mali zake, shamba lake lakini hao washikaji walimkatalia kujitoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…