Freeman Mbowe kuzungumza na Taifa Ijumaa, Januari 10, 2025

sawa atuachie nasaha zake za mwisho mwisho kama kumbukumbu kwa mwenyekiti mpya Lisu
 
Nani wa kumsikiliza yule mwehu alivyo zero brain ataanza kuongelea ya Magufuli tena
Mbowe sasa ni mzee wa masimango hata kama alikununulia kiberiti mwaka 1979 akiwa mdogo lazima asimange kwa sasa tutamwita jina jipya Mbowe masimango
 
Mbowe alikuwa Dikteta ukithubutu kuwania uenyekiti anakumaliza kama alivyowafanyia wangwe na zito ingawa Lisu kamtaimu akatangaza kuwania uenyekiti ghafra kwa kumshitukiza, lakini bado mbowe kaunda kamati ya Roho mbaya ikiongozwa na Mdee, Boniface, sigu na Wilium mungai kwa ajili ya kumdhoofisha na kumhujumu Lisu, kawalipa pesa nyingi kwa kazi hiyo, pesa zote alizoiba chadema sasa zinatafunwa na chawa kwa kwenda mbele
 
Democracy ni neno simple rahisi na linavutia sana kulitaja machoni pa watu.

Ila likija kwenye swala la utekelezaji Democracyyenyewe ya wagiriki aisee ni gumu la limekuwa jambo la kufikirika sana

Chama ambacho kinapigania Democracy ndio chama kinaididimiza Democracy kwa uchu wa madaraka halafu wakati huo huo CCM wanatakiwa kutekeleza maswala ya kidemokrasia iwe kwa kuandamana.

Kushikiniza chama tawala kutenda democracy kila nyanja
MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
Tundu anabebwa na sifa ya kutokuwa na kashifa hata ya kuzingiziwa kama viongozi wengine.Kule kunakoitwa kuropoka ni majibu sahihi ya maswali yanayolenga kumchafua dhidi ya wapinzani wake na njia pekee anaposhambuliwa anajibu ukweli ambao nyinyi mnasema ni siri.Wapo nyoka ambao ni wanyenyekevu lakini jaribu kumkanyaga uone
 
Mmachame amekuwa mchambaji kama mwanamke wa kizaramo.
Mbowe ni mwimba Taarabu mipasho ni mzee wa masimango kawa muongeaji wa hovyo haijapata kutokea mpaka baadhi ya chawa wake wanaona Aibu ile division zero ya mbowe sasa imejidhihirisha wazi
 
Yote sawa. Vizuri mkimshauri ajiuzulu/ajitoe kulinda hayo mazuri aliyo nayo. Zama zimebadilika. Wananchi wanataka amsha amsha badala ya matamko yenye busara!
 
Asante kwa taarifa
 
Lisu kaongea ukweli mtupu na kwa kuwa mbowe hakuwa kazoea haya kapandwa na pressure kubwa kawa mwimba Taarabu mipasho na masimango
 
Freeman is Mugabe of our era. Amejidharirisha sana.
 
Yote sawa. Vizuri mkimshauri ajiuzulu/ajitoe kulinda hayo mazuri aliyo nayo.
Mbowe anaogopa kuachia uenyekiti kwa hofu kuwa yale maovu, madudu, wizi wake utabainika vizuri mbowe ametenda mengi ya hovyo ndani ya miaka 20 chadema hataki yawekwe wazi, ndiyo maana anaununua uenyekiti kwa gharama yeyote
 
Jikite kwenye hoja.
Hoja hii hapa sikia ingawa ukiwa umekula pesa za mbowe ambazo kaiba chadema akaja kugawana na wewe lazima utakataa kila kitu kwa kisingizio kuwa siyo hoja , chawa kuleni pesa za mbowe lakini kura mpeni Lisu
 
Upepo umekataa kabisa halafu ni ile lafudhi yake ya Kichaga anavyoongea sasa hivi typically anaonekana ni tapeli pro.
Mbowe kaiba pesa zote za chadema kwa kutengeneza madeni hewa kisha kujilipa akiwa na lengo la kuzitakatisha pesa alizokwapua chadema, Mbowe ni mwizi kama wezi wengine
 
Mbowe kaiba pesa zote za chadema kwa kutengeneza madeni hewa kisha kujilipa akiwa na lengo la kuzitakatisha pesa alizokwapua chadema, Mbowe ni mwizi kama wezi wengine
Akiikosa hii nafasi mahakamani ataenda aisee na jela kabisa
 
Uje kwenye zoezi la kupiga kura
Kamati ya Roho mbaya ikiongozwa na Mdee, wenje, Boniface na wenzao tayari wamesuka mipango yote ya kumhujumu Lisu kumwubia kura kupora ushindi na mambo mengineyo ya hovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…