Sasa wewe unaumia nini na siyo chama chako. Mambo yao waachie wao au na wewe chukua cadi ili uumie kwa haki, siyo kuumia wakati hayakuhusu. Kwa akili hizi hata Lucas Mwashambwa ana nafuuLimakengeza n lilafi halina usafi wowote.
Namchukia sana mtu mbinafsi anayejiona ana akili kuliko wenzie na bila yeye mambo hayawezi kwenda.
HahahaAtasema ili uchumi wa taifa ukue tununue dagaa wa ziwa Nyasa.
Mgaya umelewa ngedule.Aondoke mara 2? 😂😂😂
Siasa ni Sayansi
Dokta Nchimbi ni conman/msanii.Hahaha
Limewashuka shuuMbowe Sawa na Raila Odinga tu😂
Basi sawa ndugu MuenguajiChama Cha baba mkwe
Mtaendelea kugaragazwa na Mchengerwa kwenye Box la Kura hadi mbege muite meee! 😂🔥
Bonge la Msenge wewe.Limakengeza n lilafi halina usafi wowote.
Namchukia sana mtu mbinafsi anayejiona ana akili kuliko wenzie na bila yeye mambo hayawezi kwenda.
Hahaha Dahh leo mbona mipasho mingi sanaLimewashuka shuu
Duuh punguzeni matusi jamani.Bonge la Msenge wewe.
Mungu ndiye aliyemuumba na hayo macho wewe mwenye macho yasiyokuwa na kasoro una nini. Mbwa wewe
Mambo ya Chadema waachieni chadema. Ikikuuma sana chukua kadi yao nenda kagombee, na a kama ni mwanachama hama anzisha chama chako au hamia chama chochote unachokipenda. Acha kuwa na akili kama za johnthebaptistSwela la mttu kugombea siyo la chama ni maamuzi yake binafsi hasa kwa mtu kama yeye ambaye amekaa madarakani kwa mda mrefu anapaswa tu kujitafakari, inawezekana akazani ni chama kumbe ni chawa
Safi!Wakuu,
Mbowe amerusha kijembe huko kuwa suala la yeye kugombea haliwahusu watu wa nje, ni kama pilipili tusiyoulia inatuwashia nini? Suala la kugombea chama kitasema agombee au lah.
Asema kuna watu wanatamani sana kuona kuna mafarakano chadema, na kwamba hilo haliwezi kutokea, wabaya wao watasubiri sana.
View attachment 3173677
AmewachanaSafi!
Haswa!1. Haondoki mtu hapa,
2. hatuna fomu moja ua uenyekiti kama CCM
3. Trump ana miaka mingapi?
4. Nyerere alingatuka, yeye alikuwa mtumishi wa UMMA analipwa kwa kila alipendalo. Sisis tunajitolea
BOTTOMLINE HAONDOKI MTU
Kwa hiyo anamchamba nani? Ameanza kuzeeka vibayaWakuu,
Mbowe amerusha kijembe huko kuwa suala la yeye kugombea haliwahusu watu wa nje, ni kama pilipili tusiyoulia inatuwashia nini? Suala la kugombea chama kitasema agombee au lah.
Asema kuna watu wanatamani sana kuona kuna mafarakano chadema, na kwamba hilo haliwezi kutokea, wabaya wao watasubiri sana.
View attachment 3173677
Mgaya au yule wa kule kwa wajamaaMgaya umelewa ngedule.
Noma sanaMadhara ya Nepotism yameonekana kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Tanzania 2024 Jamaa kafanya kila awezalo kumfurahisha Mama Mkwe.
Limewashuka shuuuuuKwa hiyo anamchamba nani? Ameanza kuzeeka vibaya