Freeman Mbowe na Hoyce Temu

Ina maana nilikuwa sijui historia ya JP?

Acha kuchukulia kila kitu personal ndugu.

Utakufa kwa presha kwa vitu vidogo sana.
Bavaria leo unanifurahisha kweli..
Sijui ni nani kati yetu hapa anayepata presha na kuchukulia vitu personal ha ha ha..

Hebu fikira tena ni mimi au hao wanaosema 1999 JPM alikuwa anambwelambwela kwenye madimbwi ya chato wakati Mbowe yuko town kitambo?

Walikurupuka kumbeza JPM (au kumtania) wakasahau kahistoria kanawabeza wao...

ha ha ha..
 

Ukisoma comment yangu hakuna sehemu nilisema neno JPM.

Kwahiyo anaweza akawa sie.
 
Mkuu Jozi 1 mimi ndio mmeleta mada,sina Uchadema wala Uccm...mi husimama pale napoona ni sahihi.
Majukwaa mengine ninya utani utani tu!!Huku ni kwa "Celebrities" na vituko vyao!!Seriousness is not order of the forum!!Utani utani tuuuuuu!!!

Hujaniona kule Jukwaa la Siasa navyokashifiwa na kina Nzi TUTUO Frank Wanjiru Clueless14 kwa kuitetea ndege ya ATCL?

Kuna majukwaa ya ku-relax kwa utani na vijembe!!Just relax!!
 
Nimeralax boss.
Cheers
 
Acha upuuzi wewe.

Hakuna sehemu aliyotajwa Magufuli. Na hakuna sehemu yenye ukweli wowote kuhusu kilichoandikwa.

Sio kila kitu uchukulie personal hata palipowekwa utani.
Just relax mkuu Bavaria wakati mwingine si kila mtu wa kumjibu!!Mtu akichukulia kila kitu serious humu ataumia bureu
 
Ehee kichofuata au ulitolewa kwenye makundi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…