Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Hata mimi nilifuatilia cheti cha kuzaliwa cha mtoto wa dada yangu, wala sikupata shida yoyote, ili mradi maelezo na viambatanisho vyote vina taarifa sahihi, na nilikipata kwa muda mfupi tu. Sasa nimeshangaa mleta mada anavyosema kwamba wazazi wa mtoto ndio waliozoeleka kufuatilia vyeti vya watoto wao! Huenda mleta mada hajui taratibu nyingi tu za kufuatilia mambo mbalimbali, sas badala ya kuwa mtafiti, anakimbilia kuanzisha mada ya jambo la kawaida kabisa!...mjomba wa Cayla-Stacy(kaka wa Joyce Mukya) ndiye aliyepewa jukumu la kuhakikisha mpwa wake anapata shahada ya kuzaliwa badala ya wazazi wa mtoto kama ambavyo imezoeleka...