Ni lini watu wamekula ubwabwa kusherehekea ndoa yao?
Katika kile kinachosemekana ni kuficha ukweli pengine kwa sababu ya nyadhifa zao ama kuhakikisha hakutokei matatizo ya kifamilia, Mbunge wa Hai na Kiongozi wa Kambi ya upinzani bungeni, Freeman Aikaeli Mbowe na Mbunge wa viti maalum kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo Joyce Mukya, wamelazimika kutumia Mjomba wa mtoto wao Cayla-Stacy aliyezaliwa 16 aprili, 2013 ili kufanikisha kupatikana kwa shahada ya kuzaliwa.
William Christopher Shechambo, mjomba wa Cayla-Stacy(kaka wa Joyce Mukya) ndiye aliyepewa jukumu la kuhakikisha mpwa wake anapata shahada ya kuzaliwa badala ya wazazi wa mtoto kama ambavyo imezoeleka.
Vifuatavyo ni viambatisho vya fomu ya RITA na kadi ya Kliniki ya Mtoto.
yani kweli watanzania ni sheeda yani mtu yuko busy na mambo ya familia za watu mnazileta public inatuhusu nini inatakiwa ukiweka tabia za mtu uweke na za kwako tuambatanishe alafu tujue wewe na mbowe ni yupi zaidi siyo tu kuleta za upande mmoja tumiakichwa kufikirikuliko kutumiasaburi
Duh! Hii ni hatari
Mbowe ni mzinzi sana, inakuwa anazaa zaa. Ovyo hivi?
Watanzania ndiyo maana hatupati maendeleo. Sasa angalia huyo amepoteza mda mwingi kufuatilia mambo ya watu sijui kwa manufaa ya nani. Utakuta hata milo mitatu ni shida. Ukizingatia tunachangamoto nyingi...lakini ya mwenzetu imekuwa hili...kazii kweli
hayo ni maisha binafsi jambo la msingi ni uadilifu ktk kusimamia rasili mali za nchi yetu hii dumazwa
watanzania wasikubali kudanganywa na watu kama hawa, hii ni aibu, chadema sijui watatuambia nini, ila naona mabavicha wanamsifu mwenyekiti hapa kwamba kidume...
Kipindi tulipo jadili kuhusu komba mbona hukusema haya?