Mambo binafsi yanapogharamiwa kwa kodi zetu lazima tupige kelele. Kiongozi wetu wa kitaifa anapokwenda ndivyosivyo hatuwezi kunyamaza.kwani chadema imeingiaje hapo? Mbowe ndo cdm? Je sheikh mmoja akizini ndo msikiti umezini? Je padre akizini na kanisa limezini? Je mantiki yako ni nini? Je malima alipozini pale moro kama naibu waziri, je wizara anayoiongoza ndo imezini? Huo ushabiki hauna maana yoyote. Tusiingize siasa katika mambo binafsi ya watu.
Huyo Malima uloomkomalia alizini na nani?