Freeman Mbowe na Joyce Mukya wamtumia Mjomba wa Mtoto kupata cheti cha kuzaliwa


So what? Tatizo ni nini? HAta mimi nilimtuma mdogo wangu kufuatilia vyeti vya wanangu? hii ni special? How?
 
Msafi Dr.Slaa anapiga mimba wake za watu, alifukuzwa upadre kwa kupenda ngono.

Mkuu kafunga watu maisha jela. Kuchapiwa ni siri ya ndani,mbona yeye anachapa mama zetu pia. Yule mbunge wa wanawake na maendeleo first lady alianza kumbania kwenye taasisi yake ya WAMA. Basi ndio hivyo kaka.
 
haa haa hilo ni kweli, kama tungetaka kupingana na tamaduni zetu tungeliweka hili kwenye katiba yetu!

Umeona eh!Dini zenyewe ambazo zingetuzuia nazo ni shidaaaaaaaa.Hapa hakuna cha Mkristu wala Muislamu wote tupo kapu moja.Waafrika NGONO ni shidaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Kumbe ndiyomaana mzee slaa anaendeleza uzinzi kwenye chama halafu mnamchekea kumbe kwenu ni kawaida sana tu.
uzinzi hauna chama, je malima amechukuliwa hatua gani? Je naibu katibu mkuu wa chama chenu amechukuliwa hatua gani? Litakuwa ni kosa kubwa sana la kipumbavu kumuhukumu mtu kwa mambo yake binafsi.
 
Hawa uliowataja pamoja na mimi tunafanya zinaa kwa mishahara na mapato yetu mengine. Kwa nini umpe ajira au Ubunge mtu kwa kuwa ni nyumbandogo au kimada?
hizo ni hisia zako tu, una uhakika gani kapewa ubunge kwa sababu ya nyumba ndogo? Je mh. Kaghasheki unajua kwamba na mahusiano na mbunge mwenzake?
 
mkuu hayo mambo hayana vyama, sio cuf, ccm wala cdm!
 

Mithali 6:32

“Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake”
 
mwenyekiti wa chama chako amezini na wanawake behewa kama 100 za treni na amezaa watoto lukuki kila kona ya nchi hii, ndo maana tezi dume limekamata! Ikulu kwa mara ya kwanza imepangisha wahuni na wazinifu.

Mithali 6:32

“Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake”
 
Sifa kubwa iloompatia Ubunge Mukya ni hiyo ya uhusiano wake na Mh Mbowe. Sifa nyingine anazo; ni Mtanzania; miaka zaidi ya 21;....

Kaghasheki na Magige wote ni vidampa tu ndani ya mfumo wa viti maalum vya CCM.
haa haa, bado siamini kama alipewa kwa upendeleo kamwe.
 
Mithali 6:32

“Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake”

Naamini CHADEMA wakisoma huo msitari sasa watakuwa wamejua kama SLAA na MBOWE wana akili au hawana.
Labda niwaulize CHADEMA baada ya kusoma huu msitari Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; (Mithali 6:32)
Je mbowe ana akili au hana akili? Slaa naye je ana akili au hana? Je kama hawana akili wafaa kuongoza chama au kugombea uraisi?
 
Babu seya kwa nini anaozea jela?
Alikata hadi rufaa Babu Seya wenu huyu mshenzi kabisa. Vitoto vile alivyoharibu vingekuwa vyenu au vya jamaa zenu mngetamani anyongwe badala ya hizi story zenu za kuambukizana vijiweni.
 
Makubwa haya. Mbowe ana nyumba ndogo nyingi sana

So what? Hao viongozi wa upande mwingine unafahamu nyumba ndogo zao? Stick to the guns tuangalie yanayohusu nchi tuache upuuzi
 
Chama hiki ni uzinzi uzinzi mpaka mwisho chama cha hovyo kweli.
 
haa haa mbona hili swali ujijibu kwa watu wafuatao, tezi dume, malima, mwigulu nchemba na hata george simbachawene.
 
Alikata hadi rufaa Babu Seya wenu huyu mshenzi kabisa. Vitoto vile alivyoharibu vingekuwa vyenu au vya jamaa zenu mngetamani anyongwe badala ya hizi story zenu za kuambukizana vijiweni.
teh teh, kweli nimeamini nyani haoni kundule.,kapuya mbona hajapelekwa jela? Je kept. Komba mbona anabaka mpaka wanafunzi wa sekondar lakini anadunda mtaani?
 
Chama hiki ni uzinzi uzinzi mpaka mwisho chama cha hovyo kweli.
usidanganye watu hapa, uzinzi hauna vyama kamwe, mbona kina sitta, mwigulu, sofia simba, na hata jk na malima wote hao huzini? Je nao ni cdm?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…