Freeman Mbowe na Joyce Mukya wamtumia Mjomba wa Mtoto kupata cheti cha kuzaliwa

Freeman Mbowe na Joyce Mukya wamtumia Mjomba wa Mtoto kupata cheti cha kuzaliwa

huku ni kuishiwa hoja wewe ndo unatakiwa kuleta ushahidi wa wale watoto kubakwa au wewe ulibakwa mimi siamini kama wale watoto walibakwa
Ule uliotolewa mahakamani unatosha sana. Ulihusisha hadi daktari mzuri tu.
 
Nyie pigeni kelele semeni msemayo, la msingi CCM iondoke kwanza
Mmechoka na mmekiri kuwa mmechoka haya mengine hatuyaangalii kwa sasa. Delete CCM kwanza.
 
Mkuu ushahidi unaonesha Mwenyekiti alikataa kata kata kutumia kinga wakati anajua kabisa hatari na anajua sheria za michepuko! Inatoa machozi!

Aliyegegedwa hakutoa chozi, wewe unatoa machozi?
Sijawahi kuona mwanamume mmbeya kama wewe tena mhaya?
 
Nyie pigeni kelele semeni msemayo, la msingi CCM iondoke kwanza
Mmechoka na mmekiri kuwa mmechoka haya mengine hatuyaangalii kwa sasa. Delete CCM kwanza.
Mwambie bi mkubwa wako kuwa mzee wenu kazaa na joy mukya ndoa ishakuwa ndoano.
 
Weka viambatisho mkuu porojo bila viambatisho ni bure chadema kwa maadili ya kipuuzi wamezidi tabia gani za hovyo hizi kuanzia katibu mkuu mpaka mwenyekiti hiki chama au genge la wahuni.

Umeshaweka VIAMBATANISHO vya watoto wako kwenye mitandao?Acha upuuzi wakuingilia mambo ya ndani ya wengine.Wewe pia yawezekana baba wa mtoto wako siyo mumeo wa ndoa!Kwanini kumuingilia mtu mwingine sababu tu ni wa upinzani mpaka kwenye nguo zake za ndani?

Viongozi wengi wa CCM 99% yao ni WACHAFU kupindukia kuanzia na huyo Mwenyekiti wa Hicho chama Chenu cha Mafisadi.

Wabakaji wako humo humo,kina Komba,na yule Prof aliyebaka Mwanafunzi wa miaka 16.Acha ujinga,usidhani Watanzania mabwege,tunawajua vizuri
 
hivi ndugu yangu unafikiri wanaume wanawaheshimu wake zao ni wachache sana wengin wao
ndo wako hivyo na wakishapata makitu basi wanakuwa moto wa kuotea mbali hawashishikiki kabisa


WANAUME NI VIUMBE WA AJABU SANA
Kwann mbowe anazaa zaa hovyo hivi? Kwann hamuheshimu mke wake?
 
Sasa sisi yanatuhusu nini haya ya mboye na huyo h

issue yenyewe inaelekea umedandia maana haieleweki ikichwa wala mguu ni upi
 
Hilo sio tatizo hata kidogo ungetaka wakutume wewe ukamwombee hiko cheti?,,tulia vizuri sindano ya uchaguzi wa serikali za mitaa tuichome vzuri
 
Mbowe ni mtata sana. Kwenye mambo ya kuchakachua tu hajambo.
 
Kuna tatizo gani kwa mjomba kufuatilia cheti cha mpwa wake?Ni nini kilichogichwa mbona hata jina la baba limeandikwa wazi kabisa?hebu tuambie ulitaka nini labda?
 
Back
Top Bottom