Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Yaani unawakwe zako usiende lakini Mwarabu anaingia muda anaotakaMaccm yanataka kutwambia kuwa Ngorongoro siyo sehemu salama au ni kisiwa kisicho hitaji mtanzania kutembelea?
Yaani mwarabu aruhusiwe kufika kwa uhuru lkn mtanzania wa Ikungi apigwe stop ?
Anadanganywa sana na yule ndugu yake anayehamishwa hamishwa wizara utadhani bendera ya kwenye gariNi kwanini anajiharibia reputation yake kwa vitu kama hivi justifiable.
Huna akiloMbowe aachane na haya maridhiano ya kijinga ajikite kwenye kupambana na huu utawala dhalimu
Mimemkumbuka sana maalimSahivi iwe ni jiwe kwa jiwe hakuna namna
Utatangulia kufa wewe na utakufa umesimama kui weweMnajua Hamjui sasa [emoji23][emoji23][emoji91][emoji209]
Hata mumeo hanaHuna akilo
Halafu ale wapi. Kwani nje ya siasa mbowe anaajirika? Kwa elimu Gani! Hali kadhalika sugu na lema. Afadhari kidogo Lissu amesoma sheria na nje ya siasa anweza qjiliwa nakampuni yoyote ya kumlipa laki tatu kwa mwezi.Mbowe aachane na haya maridhiano ya kijinga ajikite kwenye kupambana na huu utawala dhalimu
Hakuna namna twende kwa style hiiMimemkumbuka sana maalim
Mjinga wewe unadhani kila mtu hana akili kama mumeoHalafu ale wapi. Kwani nje ya siasa mbowe anaajirika? Kwa elimu Gani! Hali kadhalika sugu na lema. Afadhari kidogo Lissu amesoma sheria na nje ya siasa anweza qjiliwa nakampuni yoyote ya kumlipa laki tatu kwa mwezi.
Wachana na hao kina kwangu pakavu tia mchuzi wa lumumbaMjinga wewe unadhani kila mtu hana akili kama mumeo
Wewe utakufa ukiwa umechuchumaa....... wahedi π€£π₯Utatangulia kufa wewe na utakufa umesimama kui weweView attachment 2745001
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 2744983
Tunalaani ukamataji, unyanyasaji, usumbufu unaofanywa na Jeshi la Polisi na Vyombo vingine vya Dola kwa Makamu Mwenyekiti wa Chama chetu Mhe Tundu Lissu, viongozi wengine waandamizi wa ngazi mbalimbali, wanachama na wapenzi wetu huko Mkoani Arusha.
Kwa uzito huo huo, tunalaani uzuiaji wa mikutano yetu na shughuli halali za kisiasa huko Ngorongoro, Loliondo na Karatu.
Tuna hofu kubwa ya usalama wa watu wetu na ni dhahiri sasa Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan inarejesha Utawala wa mabavu usiothamini haki, Uhuru na Demokrasia. Tunafuatilia kwa karibu na tunadai kuachiliwa haraka na bila masharti kwa watu wetu wote!
Freeman Mbowe
Mtandao wa X
Pia soma: Breaking News: - Tundu Lissu akamatwa na Polisi akiwa Ngorongoro hotel Wilayani Karatu
Sheria ipi iliyovunjwa? Au kwenda Ngorongoro mpaka upate Visa kama mgeni?Kwa hiyo Mbowe alidhania kuachiwa kufanya mikutano ya hadhara ni ndiyo ruhusa ya kuvunja sheria??
Uwache tu huo utawala wa mabavu uendelee kuliko huu ujinga anaoendekeza Lisssu. Umeambiwa na Polisi hakuna kwenda Ngorongoro, unakaidi. Unategemea Polisi wacheke na nyani?
Ukiona Masaai anawacha kwenda kuchunga mifugo wake anaamua kufanya maombi basi jua kuwa kuna jambo kubwa limeingia kwenye boma lake.Hakuna namna twende kwa style hii
Na wewe usiwe mjingaHalafu ale wapi. Kwani nje ya siasa mbowe anaajirika? Kwa elimu Gani! Hali kadhalika sugu na lema. Afadhari kidogo Lissu amesoma sheria na nje ya siasa anweza qjiliwa nakampuni yoyote ya kumlipa laki tatu kwa mwezi.
Wachana na huyo chumia tumbo hana ga msimamo kama benderaSheria ipi iliyovunjwa? Au kwenda Ngorongoro mpaka upate Visa kama mgeni?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mbowe afanye kazi bank kuu? You must be kidding. Kwa elimu Gani aliyonayoNa wewe usiwe mjinga
Mbowe kafanya Kazi Benki kuu ya Tanzania kabla ya akina Vicky na Mwigulu Nchemba
Usidhani kila mtu Elimu yake inaonyeshwa kwenye Makaratasi kama Yako πππ
Kumbe humu JF huwa tunajadiliana na Vitoto vidogo sana!Mbowe afanye kazi bank kuu? You must be kidding. Kwa elimu Gani aliyonayo