eliasmisinzo
JF-Expert Member
- Aug 13, 2021
- 1,259
- 1,321
Kuna heria ipi imevunjwa? Au kwenda Ngorongoro mpaka upate Visa kama mgeni?Huyo makamu anatakatl kutuvurugia amani yetu wakati tunajua fika yeye akiona mambo yamemchachia anakimbilia ubalozi na kusindikizwa kwenda airport kukwea pipa kwenda ughaibuni hata familia yake haipo nchini. Ashindwe na alegee asituchafulie nchi yetu sisi wengine hatuna la kukimbilia.
Tazama jinsi wamasaai wakifanya maombi mara baada ya mh Lissu kukamatwa leo pale karatuView attachment 2745004
Hata mbuyu ulianza kama mchicha nduguBila kutoka kwenye maombi na kuumana na madhwalimu hawa jino kwa jino watatuvuruga sana mafwedhuli hawa
"Tii sheria bila shuruti", hiyo ndiyo motto ya Polisi Tanzania. Ukitaka kupishana nao KAIDI ndiyo utajuwa uwezo wao.Sheria ipi iliyovunjwa? Au kwenda Ngorongoro mpaka upate Visa kama mgeni?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Here is the keySamia anaficha nini Ngorongoro?
Hata mbuyu ulianza kama mchicha ndugu
Samia anaficha nini Ngorongoro?
Ni kweli Mbowe alifanya kazi BOT mwaka 1982- 1985 kama karani baada ya kuhitimu Form VI kule I Ihungo Secondary. Lakini hana elimu nyingine "formal" kutoka chuo kinachoeleweka. Nina underline tena chuo kinachoelewekaKumbe humu JF huwa tunajadiliana na Vitoto vidogo sana!
Wala hakuwa karaniNi kweli Mbowe alifanya kazi BOT mwaka 1982- 1985 kama karani baada ya kuhitimu Form VI kule I Ihungo Secondary. Lakini hana elimu nyingine "formal" kutoka chuo kinachoeleweka. Nina underline tena chuo kinachoeleweka
Mbowe alifanya kazi BOT kama ex Form VI mwaka 1982-85. Nafasi yake kama karani haimuongezei sifa yeyote kuchangia hoja za uchumi, fedha na benki. Anabakia ni mbumbumbu tuMbowe afanye kazi bank kuu? You must be kidding. Kwa elimu Gani aliyonayo
Ninaweza kukuambia mpaka Idara aliyokuwa anafanyia kazi na jengo alilokuwapo. Usitake tumuadhiri humuWala hakuwa karani
Uliona wapi maskini anamuadhiri tajiri?Ninaweza kukuambia mpaka Idara aliyokuwa anafanyia kazi na jengo alilokuwapo. Usitake tumuadhiri humu
Umeisoma Katiba vizuri? CCM mlivyokuwa wajinga mnadhani mikutano ya siasa ni hisani , hapana ni hitaji la katiba. Pia tambua Ngorongoro ni Tanzania sio Rwanda.Kwa hiyo Mbowe alidhania kuachiwa kufanya mikutano ya hadhara ni ndiyo ruhusa ya kuvunja sheria??
Uwache tu huo utawala wa mabavu uendelee kuliko huu ujinga anaoendekeza Lisssu. Umeambiwa na Polisi hakuna kwenda Ngorongoro, unakaidi. Unategemea Polisi wacheke na nyani?
Maza mwisho wake ni mbaya snUkiona Masaai anawacha kwenda kuchunga mifugo wake anaamua kufanya maombi basi jua kuwa kuna jambo kubwa limeingia kwenye boma lake.View attachment 2745007
UVCCM ni kikundi cha watu wapumbavu snUliona wapi maskini anamuadhiri tajiri?
Tatizo la uvccm mnajifanyaga mnaijua sana CCM
Bure kabisa!
Nanuonea huruma sana maana ameruhusu kuzungukwa na wahafidhina ambao kwao ccm ndiyo yenye hakiMaza mwisho wake ni mbaya sn
Tena sanaUVCCM ni kikundi cha watu wapumbavu sn
wamemzidi akili hakuna namnaNanuonea huruma sana maana ameruhusu kuzungukwa na wahafidhina ambao kwao ccm ndiyo yenye haki
Umeonaeeeeeee?Umeisoma Katiba vizuri? CCM mlivyokuwa wajinga mnadhani mikutano ya siasa ni hisani , hapana ni hitaji la katiba. Pia tambua Ngorongoro ni Tanzania sio Rwanda.