Freeman Mbowe: Ni dhahiri sasa Serikali ya Rais Samia inarejesha Utawala wa mabavu usiothamini haki, Uhuru na Demokrasia

Wewe mbowe una laana ya kuuza Pombe na malaya. Ungeanza kuomba toba.

Eti unalaani, dunia haiishiwi wachekeshaji.
 
Mbowe hiyo statement sio sahihi. Hakuna kilichobadilika bali nyie ndio mlibadilika na kuanza kuamini kirahisi #wahuni
 
Wewe mbowe una laana ya kuuza Pombe na malaya. Ungeanza kuomba toba.

Eti unalaani, dunia haiishiwi wachekeshaji.
Wewe ajuza una laana unakodi vibenten vikupakue mtaro wajukuu kabisa unawainamia kwa sababu ya hela zako za kifisadi.
 
Wewe mbowe una laana ya kuuza Pombe na malaya. Ungeanza kuomba toba.

Eti unalaani, dunia haiishiwi wachekeshaji.
Pumbaf wewe ajuza,
Malaya ni wewe unayejiuza kwa watoto wadogo.

Ukiendeleza mitusi yako kwa viongozi wa cdm tutakuanika uchafu wako wote unao ufanya.
 
Mheshimiwa Mbowe!
Usiishie tu kulaani ukamataji wa viongozi wa Chadema pekee bali laani ukamataji wote unaofanyika kwa wanaharakati wanaopinga maovu, ufisadi na ukandamizaji wa haki nchini.
Kuishia kulaani ukamataji kwa wafuasi wa Chadema pekee ni ishara ya Ubinasi.
 
Wewe ajuza una laana unakodi vibenten vikupakue mtaro wajukuu kabisa unawainamia kwa sababu ya hela zako za kifisadi.
Starehe hiyo alinifundisha mama'ko.

Hebu tazama oicha ya mbiwe juu hapo, unambie anatazama mbele au kulia au kushoto?
 
Wanaharakati wapi hao nje ya cdm waliowahi kudai haki za watanzania?

Ebu kuwa muwazi ili tujue ni watu gani watetea haki za watanzania zaidi ya wana CHADEMA?
 
Starehe hiyo alinifundisha mama'ko.

Hebu tazama oicha ya mbiwe juu hapo, unambie anatazama mbele au kulia au kushoto?
Wewe ni zaidi ya jamvi hapo lumumba.

Umalaya wako unao fanya tunaujua
 
Sasa nwenye laana ya kuuza, malaya na pombe anaweza kumlaani mtu kweli?

Hizo laana za kichaga?

Tusichekeshane.
 
Mbowe aachane na haya maridhiano ya kijinga ajikite kwenye kupambana na huu utawala dhalimu
Kama mngeandamana kipindi kile yupo Gerezani maridhiano angeyatafuta Samia na siyo Mbowe ila mliposhindwa kufanya hivyo hakuwa na namna.
 
Wewe ni zaidi ya jamvi hapo lumumba.

Umalaya wako unao fanya tunaujua
Hata Tamari katika bibi zake Yesu kwenye bibilia alikuwa kahaba. Umesahau? Au hujasoma Sunday school wewe?
 
We mjinga, akija police akakwambia umpishe chumbani apumzike na mkeo utatii amri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…