Freeman Mbowe: Ni dhahiri sasa Serikali ya Rais Samia inarejesha Utawala wa mabavu usiothamini haki, Uhuru na Demokrasia

Starehe hiyo alinifundisha mama'ko.

Hebu tazama oicha ya mbiwe juu hapo, unambie anatazama mbele au kulia au kushoto?
Kahaba umeandika nini hapa au kuna kibenten kimekuning'iniza hapo. Mtu mzima ovyo unafokolewa na vijukuu.
 
Mungu wa mbinguni mrehemu shujaa Magufuli
Naomba kama magu hakuhusika kifo cha Ben saa nane wanangu wote na kama Ali husika wafe haraka wako wote.ili umuite shujaa.unapoteza watoto kwenye kuwaza ukuu wa wilaya
 
Huyu naye ana boa si alisema anakuja mmponyaji
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wote wangekuwa na akili kama zako kusingekuwepo na neno "UKOMBOZI". Mandela angetii mamlaka, AFRIKA Kusini ingekuwa bado koloni. Nyerere angetii mamlaka, Tanganyika ingekuwa bado koloni. Mawazo haya yako CCM tu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Sasa Lissu anakomboa nini toka kwa nani?
 
Sababu hakuna namna, lazima wachochezi wa uvunjivu amani washughulikiwe ipasavyo.
 
Serikali tuelewesheni Kwa mapana na marefu kwanini hamtaki hii jamii adim Africa ikae huko Ngorongoro. This is very serious issue.
Nani kakuambia wamasai ni jamii adimu? Kuna wamasai Chalinze, Dar es Salaam, Zanzibar etc. Wako wanasuka nywele, wanauza nail cutter, sandals. Wengine ni beach boys Zanziba wanaruka na watalii.

Tusitafute sababu za uwongo. Hii siyo jamii ya kwanza kuhamishwa kwenye maeneo yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…