SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Kahaba umeandika nini hapa au kuna kibenten kimekuning'iniza hapo. Mtu mzima ovyo unafokolewa na vijukuu.Starehe hiyo alinifundisha mama'ko.
Hebu tazama oicha ya mbiwe juu hapo, unambie anatazama mbele au kulia au kushoto?
Tena kinyume cha maumbileWewe mbona una laana ya kujiuza?
Naomba kama magu hakuhusika kifo cha Ben saa nane wanangu wote na kama Ali husika wafe haraka wako wote.ili umuite shujaa.unapoteza watoto kwenye kuwaza ukuu wa wilayaMungu wa mbinguni mrehemu shujaa Magufuli
Katiba Alioapia imesema kuna muda??Muda wa siasa bado,wassubiri 2025
Wachana na hao CHAWAKatiba Alioapia imesema kuna muda??
Hana mbele wala nyuma huyoKahaba umeandika nini hapa au kuna kibenten kimekuning'iniza hapo. Mtu mzima ovyo unafokolewa na vijukuu.
Huyu naye ana boa si alisema anakuja mmponyajiView attachment 2744983
Tunalaani ukamataji, unyanyasaji, usumbufu unaofanywa na Jeshi la Polisi na Vyombo vingine vya Dola kwa Makamu Mwenyekiti wa Chama chetu Mhe Tundu Lissu, viongozi wengine waandamizi wa ngazi mbalimbali, wanachama na wapenzi wetu huko Mkoani Arusha.
Kwa uzito huo huo, tunalaani uzuiaji wa mikutano yetu na shughuli halali za kisiasa huko Ngorongoro, Loliondo na Karatu.
Tuna hofu kubwa ya usalama wa watu wetu na ni dhahiri sasa Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan inarejesha Utawala wa mabavu usiothamini haki, Uhuru na Demokrasia. Tunafuatilia kwa karibu na tunadai kuachiliwa haraka na bila masharti kwa watu wetu wote!
Freeman Mbowe
Mtandao wa X
Pia soma: Breaking News: - Tundu Lissu akamatwa na Polisi akiwa Ngorongoro hotel Wilayani Karatu
Wewe punguani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyu Samia ni wa kwenda nae sawa, ameshaonesha ushetani wake muda mrefu sana, sasa ni wakati wa kubadili aina ya siasa wanazofanya Chadema.
Ni kiongozi mweupe asiye na kitu kichwani, hata kama wakikaa nae wakaongea nae kwenye maridhiano, lakini anaonekana wazi wapo wanaomuendesha kama mdoli, huyu ni rahisi sana kwenda kinyume na makubaliano ya awali, wasimuamini.
Wawaache wananchi wazalishe maliKatiba Alioapia imesema kuna muda??
Wote wangekuwa na akili kama zako kusingekuwepo na neno "UKOMBOZI". Mandela angetii mamlaka, AFRIKA Kusini ingekuwa bado koloni. Nyerere angetii mamlaka, Tanganyika ingekuwa bado koloni. Mawazo haya yako CCM tu."Tii sheria bila shuruti", hiyo ndiyo motto ya Polisi Tanzania. Ukitaka kupishana nao KAIDI ndiyo utajuwa uwezo wao.
Lissu alipaswa kwenda kuuliza kwenye mamlaka husika kwa nini hawataki aende. Period
Haya mengine ni kutaka uchokozi tu na mamlaka. Halafu kwa mtu ambaye ni mwanasheria na anatarajia kuja kuomba ridhaa ya uongozi wa nchi, alipaswa aonyeshe kiwango cha juu cha nidhamu.
Utampaje uRais mtu ambaye kichwa chake na cha Mdude Chadema hakina tofauti.
Naona unaanza kutafuta sababu za kuikimbia familia yakoSahivi iwe ni jiwe kwa jiwe hakuna namna
Itakuwa anapeleka wanyama dubeiSamia anaficha nini Ngorongoro?
ππππ
Sasa Lissu anakomboa nini toka kwa nani?Wote wangekuwa na akili kama zako kusingekuwepo na neno "UKOMBOZI". Mandela angetii mamlaka, AFRIKA Kusini ingekuwa bado koloni. Nyerere angetii mamlaka, Tanganyika ingekuwa bado koloni. Mawazo haya yako CCM tu.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Serikali tuelewesheni Kwa mapana na marefu kwanini hamtaki hii jamii adim Africa ikae huko Ngorongoro. This is very serious issue.Ukiona Masaai anawacha kwenda kuchunga mifugo wake anaamua kufanya maombi basi jua kuwa kuna jambo kubwa limeingia kwenye boma lake.View attachment 2745007
Mimi siyo muoga kihivyoNaona unaanza kutafuta sababu za kuikimbia familia yako
Nani kakuambia wamasai ni jamii adimu? Kuna wamasai Chalinze, Dar es Salaam, Zanzibar etc. Wako wanasuka nywele, wanauza nail cutter, sandals. Wengine ni beach boys Zanziba wanaruka na watalii.Serikali tuelewesheni Kwa mapana na marefu kwanini hamtaki hii jamii adim Africa ikae huko Ngorongoro. This is very serious issue.