Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Wewe nani asiyekujua kuwa ni ndugu yake Zitto KabweAkina dada 19 walisema uwepo wao bungeni una baraka za Mwenyekiti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe nani asiyekujua kuwa ni ndugu yake Zitto KabweAkina dada 19 walisema uwepo wao bungeni una baraka za Mwenyekiti
Kwa sasa ni kama Mbowe anafaa zaidi kuwa mzee wa kanisa kuliko kiongozi wa upinzani.Kwanza naandika kama Mtanzania independent ambaye sina chama, na kwa kweli nina sympathy na upinzani zaidi.
Kwa hiyo, siandiki kama chawa wa CCM.
Kwa maneno mengine, ningefurahi sana Mbowe angekuwa anafanya vizuri.
Mbowe ana ji contradict sana. Kama Mwenyekiti wa CHADEMA alitakiwa kuelewa kanuni za msingi za Separation of Church and State.
Kwa kumualika Samia na kukubali mchango wa shilingi milioni 150 kwenye shughuli ya kanisa lake kwao, inakuwa kama kakubali kuhongwa na Samia.
Mimi sikuwa tatizo na Mbowe kushiriki maongezi ya maridhiano, angeweza kusema yeye ni kiongozi moderate aliyekuwa anatafuta maridhiano tu. Ingawa hata hayo yalikuwa yanakwenda kwenye dead end, tulijua tu. Lakini, mara nyingine kiongozi wa upinzani anahitaji kuchukua njia inayompeleka kwenye dead end ili kutuonesha kuwa alikuwa na nia ya maridhiano, lakini upande wa pili umekwamisha hapa na hapa. Ndiyo maana hata mahakamani upinzani huwa unafungua kesi ambazo tunajua utashindwa, lakini wanataka kuweka rekodi kwamba tulifungua kesi hivi, mahakama ikatuonea hivi.
Kwa hiyo, hata kwenye maridhiano alikopingwa na watu wengi, mimi niliona kuwa Mbowe bado ana nafasi ya ku make sense.
Lakini huku kwenye kumualika Samia atoe shilingi milioni 150, Mbowe kajitia doa sana. Yani hata kiongozi wa CCM kumualika Samia na Samia kuchangia shilingi milioni 150 kwenye kanisa la huyo kiongozi ni tatizo. Anavunja kanuni za separation of Church and State.
Nyerere katawala miaka 24. Alikuwa anakwenda kanisani kila siku akiwa Dar. St. Peters asubuhi kabisa utamkuta pale. Lakini hakufanya mchezo huu wa kuchangia kanisa pesa. Si kwa style na kiasi hiki.
Mbowe kama Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, anatakiwa kujua kuwa, demokrasia ni pamoja na separationnof church and state.
This is such a big disappointment.
Kama huyu kiongozi mkubwa hivi CHADEMA anaweza kufanya strategic mistake kubwa hivi hadharani, huko nyuma ya pazia anaboronga vipi?
Kwa uongozi huu bado CHADEMA inategemea kuishinda CCM?
Au hawa viongozi wa CHADEMA wanajua kabisa CCM hawawezi kuishinda, wameamua kugawana mazuri ya nchi tu huku wakiwapiga wananchi magirini tu?
Naam,Kwa sasa ni kama Mbowe anafaa zaidi kuwa mzee wa kanisa kuliko kiongozi wa upinzani.
Kwani Mbowe anakitu kipi kipya ambacho amekifanya tangia Hawe mwenyekiti?Sana Sana kujichotea fedha za rudhuku na kujinufaisha Yeye na family yake,tokea awe mwenyekiti hata ofisi ya hadhi kujenga imemshida,hapo hapo wanajinasibu kuwa ni chama cha Democrasia na maendeleo,kadanganye wajingawajinga wenziwe ambao wanamwona Mbowe ni Mungu Mtu hastahili kusemwa.Sukuma gang kazini, hata kuandika unashindwa kisa mh Mbowe
Mwenyekiti wa chama cha siasa kaacha kujenga ofisi ya chama ya hadhi kitaifa, kaenda kujenga kanisa lake kwao.Kwani Mbowe anakitu kipi kipya ambacho amekifanya tangia Hawe mwenyekiti?Sana Sana kujichotea fedha za rudhuku na kujinufaisha Yeye na family yake,tokea awe mwenyekiti hata ofisi ya hadhi kujenga imemshida,hapo hapo wanajinasibu kuwa ni chama cha Democrasia na maendeleo,kadanganye wajingawajinga wenziwe ambao wanamwona Mbowe ni Mungu Mtu hastahili kusemwa.
Kumekucha kumekuchaaComrade Makonda hakuongea kwa bahati mbaya wala kukurupuka, aliongea ukweli mtupu. Freeman Mbowe, Ntobi, Salim Mwalimu, na Bonifas Mwita ni baadhi tu, ya watoa taarifa ndani ya Chadema. Imefika muda tuseme kila kitu kwa uwazi kwamba, Chadema ina wazalendo wachache. Wengine wote wachumia tumbo na watoa Taarifa wakiongozwa na Freeman Mbowe.
Majuzi, Mr. Mbowe akita KKKT NSHARA Machame, alitangaza hadharani kwamba, Rais Samia alitoa mchango wa TZS 150million, ambayo kwa lugha nyingine ni “Endorsement” ya Rais Samia 2025. Mbowe amewatangazia watanzania kwamba mgombea wake 2025 ni Samia Suluhu Hassan. Bila kumung’unya maneno niulize maswali mawili tuu. Zile Toyota Landcruiser Mr. Mbowe alizitoa wapi? Na ile Chopper, fedha zake zilitoka wapi?
Kadhalika, Mr. Freeman Mbowe aliwaalika Covid-19 wakiongozwa na Mr. Alima Mdee kwenye hiyo harambee ikimaanisha kwamba, kwa muda mrefu, Mr. Mbowe amekuwa akiwakumbatia COVID-19 ndani ya CDM. Jiulizeni, Tulia Ackson anatoa wapi jeuri ya kuwakumbatia hao COVID-19? Wote wanalindwa na Mr. Freeman Mbowe na hawakwenda KKKT NSHARA Machame Kimakosa. Wote walienda kueneza mema ya viongozi wa CCM kwa mualiko wa Mr. Mbowe..Kwa maana hiyo, Mr. Mbowe na Covid-19 ni kitu kimoja. Kadhalika Samia na Mbowe ni kitu kimoja. Mbowe ni mtoa taarifa
Tukiwa wana CCM. Hawa watu wa CHADEMA wanatukera. Either waingie CCM au wanyamaze. Sisi hatuwataki maana wanaonyesha kufanya siasa za makueni. wanaunga mkono siasa za makundi. Wanamuunga mkono kundi la Samia.
Mr. Freeman Aikeli Mbowe, chagua moja. Baki ndani ya CDM mazima, au njoo ccm kundi la Samia 100%. Hatupendi unalolifanya maana unawavuruga Chadema na wana CCM vilevile. Kama umeshiba asali, basi jiuzulu uenyekiti na kukaa kimya, ila sisi hatukutaki ndani ya CCM. Tunajua lengo lako, ni kutengeneza ukaribu tena na Rais Samia, maana taarifa zilikufikia za Samia kuchukia ulivyomponda majukwaani baada ya kula hela zake za kukodi Elicopter na Magari ya Mikutano mikoani.
HawatufaiHao wanao chukia kuona mh Mbowe anafanya siasa za kiungwana ndiyo maadui wa nchi hii na walikuwa wananufaika na hali ya misuguano
Comrade Makonda hakuongea kwa bahati mbaya wala kukurupuka, aliongea ukweli mtupu. Freeman Mbowe, Ntobi, Salim Mwalimu, na Bonifas Mwita ni baadhi tu, ya watoa taarifa ndani ya Chadema. Imefika muda tuseme kila kitu kwa uwazi kwamba, Chadema ina wazalendo wachache. Wengine wote wachumia tumbo na watoa Taarifa wakiongozwa na Freeman Mbowe.
Majuzi, Mr. Mbowe akita KKKT NSHARA Machame, alitangaza hadharani kwamba, Rais Samia alitoa mchango wa TZS 150million, ambayo kwa lugha nyingine ni “Endorsement” ya Rais Samia 2025. Mbowe amewatangazia watanzania kwamba mgombea wake 2025 ni Samia Suluhu Hassan. Bila kumung’unya maneno niulize maswali mawili tuu. Zile Toyota Landcruiser Mr. Mbowe alizitoa wapi? Na ile Chopper, fedha zake zilitoka wapi?
Kadhalika, Mr. Freeman Mbowe aliwaalika Covid-19 wakiongozwa na Mr. Alima Mdee kwenye hiyo harambee ikimaanisha kwamba, kwa muda mrefu, Mr. Mbowe amekuwa akiwakumbatia COVID-19 ndani ya CDM. Jiulizeni, Tulia Ackson anatoa wapi jeuri ya kuwakumbatia hao COVID-19? Wote wanalindwa na Mr. Freeman Mbowe na hawakwenda KKKT NSHARA Machame Kimakosa. Wote walienda kueneza mema ya viongozi wa CCM kwa mualiko wa Mr. Mbowe..Kwa maana hiyo, Mr. Mbowe na Covid-19 ni kitu kimoja. Kadhalika Samia na Mbowe ni kitu kimoja. Mbowe ni mtoa taarifa
Tukiwa wana CCM. Hawa watu wa CHADEMA wanatukera. Either waingie CCM au wanyamaze. Sisi hatuwataki maana wanaonyesha kufanya siasa za makueni. wanaunga mkono siasa za makundi. Wanamuunga mkono kundi la Samia.
Mr. Freeman Aikeli Mbowe, chagua moja. Baki ndani ya CDM mazima, au njoo ccm kundi la Samia 100%. Hatupendi unalolifanya maana unawavuruga Chadema na wana CCM vilevile. Kama umeshiba asali, basi jiuzulu uenyekiti na kukaa kimya, ila sisi hatukutaki ndani ya CCM. Tunajua lengo lako, ni kutengeneza ukaribu tena na Rais Samia, maana taarifa zilikufikia za Samia kuchukia ulivyomponda majukwaani baada ya kula hela zake za kukodi Elicopter na Magari ya Mikutano mikoani.
Ni sahihi kabisa Mbowe ana busara na ndiyo maana kanisa wakamuamini na kumpa jukumu la kutafuta michango ya fedha kwa ajili ya ujenzi wa kanisa. Akiwa mwenyekiti wa kamati ya kutafuta fedha hakujali wa hakubagua wachangiaji. Hata wale aliotuaminisha ni maadui kisiasa ila wana fedha yeye kawachukua fedha. Zile fedha ni za kanisa siyo Chadema.Mleta uzi punguza bangi. Mbowe ni mtu mwenye busara sio kama Mdude. Mbowe anaifahamu hii nchi kuliko viongozi wengi wa serikali. Hawezi kuitanguliza CHADEMA kabla ya Tanzania. Acha siasa za chuki zisizo na tija. Watu hawawezi kuishi kama maadui hadi kwenye maisha ya kawaida. CHADEMA na CCM zinapambana kisiasa kwa hoja sio hadi kwenye shughuli za kijamii kama ujenzi wa kanisa
Wewe nimjinga mmno shida hujajijua tu, Pole!! Ninyi ndomnafanya Tz ionekane imejaa zumbukuku maana mnakiherehere nahamjui kituComrade Makonda hakuongea kwa bahati mbaya wala kukurupuka, aliongea ukweli mtupu. Freeman Mbowe, Ntobi, Salim Mwalimu, na Bonifas Mwita ni baadhi tu, ya watoa taarifa ndani ya Chadema. Imefika muda tuseme kila kitu kwa uwazi kwamba, Chadema ina wazalendo wachache. Wengine wote wachumia tumbo na watoa Taarifa wakiongozwa na Freeman Mbowe.
Majuzi, Mr. Mbowe akita KKKT NSHARA Machame, alitangaza hadharani kwamba, Rais Samia alitoa mchango wa TZS 150million, ambayo kwa lugha nyingine ni “Endorsement” ya Rais Samia 2025. Mbowe amewatangazia watanzania kwamba mgombea wake 2025 ni Samia Suluhu Hassan. Bila kumung’unya maneno niulize maswali mawili tuu. Zile Toyota Landcruiser Mr. Mbowe alizitoa wapi? Na ile Chopper, fedha zake zilitoka wapi?
Kadhalika, Mr. Freeman Mbowe aliwaalika Covid-19 wakiongozwa na Mr. Alima Mdee kwenye hiyo harambee ikimaanisha kwamba, kwa muda mrefu, Mr. Mbowe amekuwa akiwakumbatia COVID-19 ndani ya CDM. Jiulizeni, Tulia Ackson anatoa wapi jeuri ya kuwakumbatia hao COVID-19? Wote wanalindwa na Mr. Freeman Mbowe na hawakwenda KKKT NSHARA Machame Kimakosa. Wote walienda kueneza mema ya viongozi wa CCM kwa mualiko wa Mr. Mbowe..Kwa maana hiyo, Mr. Mbowe na Covid-19 ni kitu kimoja. Kadhalika Samia na Mbowe ni kitu kimoja. Mbowe ni mtoa taarifa
Tukiwa wana CCM. Hawa watu wa CHADEMA wanatukera. Either waingie CCM au wanyamaze. Sisi hatuwataki maana wanaonyesha kufanya siasa za makueni. wanaunga mkono siasa za makundi. Wanamuunga mkono kundi la Samia.
Mr. Freeman Aikeli Mbowe, chagua moja. Baki ndani ya CDM mazima, au njoo ccm kundi la Samia 100%. Hatupendi unalolifanya maana unawavuruga Chadema na wana CCM vilevile. Kama umeshiba asali, basi jiuzulu uenyekiti na kukaa kimya, ila sisi hatukutaki ndani ya CCM. Tunajua lengo lako, ni kutengeneza ukaribu tena na Rais Samia, maana taarifa zilikufikia za Samia kuchukia ulivyomponda majukwaani baada ya kula hela zake za kukodi Elicopter na Magari ya Mikutano mikoani.
Wahutu ndiyo kawaida yao bila ugomvi maisha hayaendi.Ndani ya familia ya Mbowe kuna CCM na CHADEMA na maisha yanaenda, yeye anataka uadui
haonewe ndiyo nini?Tatizo linaanzia hapo.Mbowe anataka haonewe uruma na Samia amwachie kiti cha ubunge jimbo la Hai maisha yaendelee, Tanganyika tunakuja kupata upinzani wa kweli kizazi hiki cha Mbowe/Zitto kikitoweka maana hawa Sio wanasiasa bali wajasilisiasa, Siasa wanaifanya kama ujasiriamali wao wanaangalia furusa kwa watawala, halafu wanakuja na maneno mepesi eti Siasa sio uhadui, labda wawadanganye wajingawajinga ambao hawajui mambo ya Siasa,ukiwa mwanasiasa kwelikweli lazima uwe adui wa watawala.Mbowe kaisha ramba asali tusidanganyane.
Mbowe kawafanya misukule!!Wazalendo ndani ya CDM Wana maumivu makali mnoo.
Hata Nyerere alikuwa mpumbavu kutumia familia ya akina Mbowe kupambania uhuru wa Tanganyika?Huwa wacheka sana nikimuona mtu anasema mbowe ni kiongozi wao [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hivi unakubali vipi kuongozwa na mtu mpumbavu na mpuuzi kama Dj mbowe[emoji53][emoji53][emoji53][emoji53] ngoja tu ninyamaze .
Heri kuwa msukule wa Mbowe kuliko kuwa msukule wa ccm maana kwa Mbowe kuna mwanga lakini ccm kumejaa damu na giza.Mbowe kawafanya misukule!!
Msukule wowote ule hauna kheri!Heri kuwa msukule wa Mbowe kuliko kuwa msukule wa ccm maana kwa Mbowe kuna mwanga lakini ccm kumejaa damu na giza.
Mbowe ni akili kubwa = Samia anaupiga mwingi.Mbowe ni akili kubwa isiyo ya kukurupuka, siasa sio uadui, siasa sio, pingapinga, siasa sio negativitness, siasa safi ni akili kubwa, ccm ni dubwana kubwa, akili ni kucheza nalo kwa timing, ukiwa na pupa tu, jua umeshashindwa mapema, timing matter!
Sasa mama yangu kaingia je hapo?Mama yako pekee ndio mpinzani wa kweli
Nyerere aliongozwa na kina mbowe ? Tumia akili ....mtu mwenye akili kuongoza wapumbavu ni sawa ila mpumbavu kuongoza mwenye akili ndiyo tatizo.Hata Nyerere alikuwa mpumbavu kutumia familia ya akina Mbowe kupambania uhuru wa Tanganyika?