Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Wakuu
Kwenye mahojiano na Salim Kikeke kupitia, Crown FM, Mbowe amefunguka kuwa;
"Mimi kama Mwenyekiti wa chama ni tabia yangu ni historia yangu, sijawahi kuingia kwenye siasa kwa ajili ya kutafuta sifa na mimi nilikuwa mtu wa kujenga na kulea vipaji vingi kwa miaka yote, Tundu Lissu mimi nimemuingiza kwenye chama na tukamjenga na tukamsaidia kwa njia zote na yeye akakisaidia chama kwa njia mbalimbali".
"Swali la Lissu kunishambulia angelijibu vizuri yeye kwa sababu hakuna shutma hata moja anayoeleza hadharani dhidi yangu ambayo ni ya kweli, na tumeshamtaka kama una ushahidi wa chochote lete kwenye vikao vya chama." - Freeman Mbowe, Mwenyekiti CHADEMA
Pia, Soma;
• Mpambano wa Freeman Mbowe na Tundu Lissu: Wajue wagombea hawa wawili
• Ezekia Wenje: Wapambe wanawagombanisha Mbowe na Lissu
Kwenye mahojiano na Salim Kikeke kupitia, Crown FM, Mbowe amefunguka kuwa;
"Mimi kama Mwenyekiti wa chama ni tabia yangu ni historia yangu, sijawahi kuingia kwenye siasa kwa ajili ya kutafuta sifa na mimi nilikuwa mtu wa kujenga na kulea vipaji vingi kwa miaka yote, Tundu Lissu mimi nimemuingiza kwenye chama na tukamjenga na tukamsaidia kwa njia zote na yeye akakisaidia chama kwa njia mbalimbali".
"Swali la Lissu kunishambulia angelijibu vizuri yeye kwa sababu hakuna shutma hata moja anayoeleza hadharani dhidi yangu ambayo ni ya kweli, na tumeshamtaka kama una ushahidi wa chochote lete kwenye vikao vya chama." - Freeman Mbowe, Mwenyekiti CHADEMA
Pia, Soma;
• Mpambano wa Freeman Mbowe na Tundu Lissu: Wajue wagombea hawa wawili
• Ezekia Wenje: Wapambe wanawagombanisha Mbowe na Lissu