Pre GE2025 Freeman Mbowe: Shutma za Lissu dhidi yangu ni za uongo

Pre GE2025 Freeman Mbowe: Shutma za Lissu dhidi yangu ni za uongo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Pelekeni watoto shule...hakikisha anafaulu...
Freeman is finished big time...
Muda ni mwalimu mzuri sana!
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Kama hauja "itaka" ungepita kimya tu! Hata, kwenye kuaga maiti, sio wote wanaopita mbele ya jeneza, wanaliangalia, wanapita huku wanaangalia pembeni!
Na siyo kila anayepita kuaga maiti lazima alie, wengine (wengi) huwa wanapita kimya kimya tu, na yeye angepotezea tu 😆
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Mbowe ameiharibu kazi aliyoifanya kwa miaka 20+ yeye mwenyewe kwa mikono yake. Kama kweli ni mkongwe ameshindwaje kuyajua mahitaji ya wanachama na wafuasi wa Chadema kuwa wanataka mabadiliko? Mbona kila mwenye mapenzi na Chadema anaona kuwa Mbowe ame overstay kwenye uenyekiti?
Usimlaumu Mbowe kwa kufanya kazi anayotumwa kufanya. Hiyo ni kawaida kwa watu wote wa kitengo chetu cha siri. Kazi yao kubwa ni kujenga na kubomoa kwa faida ya nchi.

Vijana wa 2000 hamjui kinachoendelea katika siasa za vyama vingi, ndomaana kila mkiona mtu upepo umemuelekea mnakimbilia kujua ni mpinzani huku wenye kujua kinachoendelea tukiwaangalieni tu 🤣🤣🤣

Kwa taarifa yako sio Mbowe pekee alieharibu kazi aliyoijenga, walikuwepo kina Mrema ambao mpaka mwl Nyerere eti akajifanya kuingia mzigoni kupambana nae katika uchaguzi mkuu wa mwaka 95 kwa kujifanya ana kinusuru chama na kumpigania mgombea uraisi wa kipindi hicho hayati Benjamin Mkapa.

Mrema alikuwa na ushawishi ambao kuna watu wanahisi hakuna mwanasiasa wa upinzani yoyote aliewahi kumfikia enzi zake. Lakini mwisho wa siku tumeona jinsi alivyoanguka kisiasa. Tumewaona kina Lipumba enzi za jino kwa jino, lakini leo hii amekuwa tabaani kama kuku mwenye mdondo. Hivyo usishangae na Mbowe nae kuelekea huko mkuu.

Hii ni kanuni ya mfumo wa uanzishaji wa vyama vingi. Lengo ni kuihadaa dunia kwamba nchini kwetu kuna demokrasia ya vyama vingi, kumbe nyuma ya pazia ni changa la macho. Na akitokea mpinzani wa kweli lazima ahenyeshwe na kamwe hawezi kukubaliwa kuongoza chama chochote kikubwa cha siasa.
 
Ok
20250104_054809.jpg
 
Mwenyekiti wa chadema Mh Freeman Mbowe anesema YEYE ndio alimuingiza Tundu Antipas Lisu na kumjenga

Mbowe amesema YEYE ni Mtu wa kuibua vipaji na hilo ni jukumu amelifanya kwa uaminifu mkubwa

Source Crown media
 
Mwenyekiti wa chadema Mh Freeman Mbowe anesema YEYE ndio alimuingiza Tundu Antipas Lisu na kumjenga

Mbowe amesema YEYE ni Mtu wa kuibua vipaji na hilo ni jukumu amelifanya kwa uaminifu mkubwa

Source Crown media
Yote haya ni Lissu kugombea nafasi ya Mwenyekiti ,halafu kinaitwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo,What a contradiction !!
 
Yote haya ni Lissu kugombea nafasi ya Mwenyekiti ,halafu kinaitwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo,What a contradiction !!
Nakumbuka Mbowe alivyowachukua akina Zitto, Silinde na Halima Mlimani 😂😂😂

Hao wavulana walikuwa wamevaa Yanga Kandambili na Msichana wao alivaa viatu vya Mwaka wa Mtoto (1982) 😂😂
 
Aliyelipwa - akaajiri watu - kumlinda Mzee, hajafaulu.

Terajieni 'vijana wake' kuingia mzigoni leo/kesho.

Mzee sees damage - thinks 'vijana' hawamsaidii.

Yes, sio rahisi kumnadi Mzee.

Tumefikaje hapa? Pesa & tamaa imeua movement.

Muhimu ni kuanza upya. Tuko tayari. Aluta!

Ameandika wakili @TitoMagoti katika Ukurasa wake wa X (Formerly Twitter)
 
Aliyelipwa - akaajiri watu - kumlinda Mzee, hajafaulu.

Terajieni 'vijana wake' kuingia mzigoni leo/kesho.

Mzee sees damage - thinks 'vijana' hawamsaidii.

Yes, sio rahisi kumnadi Mzee.

Tumefikaje hapa? Pesa & tamaa imeua movement.

Muhimu ni kuanza upya. Tuko tayari. Aluta!

Ameandika wakili @TitoMagoti katika Ukurasa wake wa X (Formerly Twitter)
Kwamba pesa hazijafanya kazi?
 
Aliyelipwa - akaajiri watu - kumlinda Mzee, hajafaulu.

Terajieni 'vijana wake' kuingia mzigoni leo/kesho.

Mzee sees damage - thinks 'vijana' hawamsaidii.

Yes, sio rahisi kumnadi Mzee.

Tumefikaje hapa? Pesa & tamaa imeua movement.

Muhimu ni kuanza upya. Tuko tayari. Aluta!

Ameandika wakili @TitoMagoti katika Ukurasa wake wa X (Formerly Twitter)
Einstein umeniacha kabisaa,au ndio mambo ya vumbuzi mupya mupya?
 
Back
Top Bottom