Albert Einstein
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 394
- 582
Lissu anadai atamwokoa Mbowe na umugabe π π π πmbowe ni mjinga sana
Sidhani kama Kuna mtego aliruka, huyu mangi amekuwa akijinufaisha kupitia siasa za chadema Kwa muda mrefuM7 hahitajiki kwa sasa, amekuwa corupt, wanashindwa kumtaja kwa sababu ya kumtumzia heshima.ila ukweli coruption imemwalibia, ameingia kwenye mtego wa Abdul baada ya kufanikiwa kuruka mitego hiyo kwa miaka mingi
Konyagi zinamdanganyaKwanini anashindwa kuusoma Wakati?
Ameamua kuuza heshima na kununua fedheha.Itakuwa jambo la busara Mwenyekiti Mbowe akapumzika. Amefanya mengi kwa faida ya CHADEMA.
Na chama kitajifia wakifanya hiyo mistake. Bora Bowe akachukue ujuzi kutoka CCM wa michezo ya kwenye sanduku la kulaTAL anaenda kufutwa uananchama na atakuwa hana qualification za kugombea tena.
yuko sawaLissu anadai atamwokoa Mbowe na umugabe π π π π
Kuna maisha baada ya Uchaguzi,Bora mchague Mbowe unaweza kuja hata kumkopa hela mambo yakikwama.
Waliokaa kimya sio wajinga
Haya maneno huandika wapinzani dhidi ya CCM. Ukija uchaguzi 98% ccm wameshinda. Ni sawa kwa Lissu kwa MboweAliyelipwa - akaajiri watu - kumlinda Mzee, hajafaulu.
Terajieni 'vijana wake' kuingia mzigoni leo/kesho.
Mzee sees damage - thinks 'vijana' hawamsaidii.
Yes, sio rahisi kumnadi Mzee.
Tumefikaje hapa? Pesa & tamaa imeua movement.
Muhimu ni kuanza upya. Tuko tayari. Aluta!
Ameandika wakili @TitoMagoti katika Ukurasa wake wa X (Formerly Twitter)
Halafu michawa yake humu inakuja kupost ujinga ujinga, inakera kishenzi, uchaguzi S/MITAA tulijitoa sana kwa gharama zetu kupambania chama.usultani
mgabe
kagame
umalikia elizabeth hadi kifo.
Mwisho mbowe ni mjinga sana
Baada slaah kusalitiwa na m,bowe nikaachana na siasa mkuu. Niliona wazi mbowe ananunulika kirahisi.Nakumbuka slaa alikuja kwenye kampen tulikimbia kama 15 tukihamsisha vijana wenzetu na nina amini slaa alimshinda jk kwa gape kubwa sana. Halafu anakuja lowasa yule tuliyemuimba siku zote kuwa ni fisadi NO1 nikasema hapana nitakonekana mjinga sana. muda huo nilikuwa nitoka ccm na kupewa vi cheo vya ovyo ovyo kuleHalafu michawa yake humu inakuja kupost ujinga ujinga, inakera kishenzi, uchaguzi S/MITAA tulijitoa sana kwa gharama zetu kupambania chama.
Kumbe kuna michawa imekaa kisengeremaa hata haijui yanayofanya.
Mijitu hii ni mijingamijinga ngoja tuone kukitokea usengeremaaa naachana na siasa kabisa πππ
Mkuu ngoja tuone hiyo tarehe 21 kama kuna figisu za kijinga naachana na siasa kabisa aisee.Baada slaah kusalitiwa na m,bowe nikaachana na siasa mkuu. Niliona wazi mbowe ananunulika kirahisi.Nakumbuka slaa alikuja kwenye kampen tulikimbia kama 15 tukihamsisha vijana wenzetu na nina amini slaa alimshinda jk kwa gape kubwa sana. Halafu anakuja lowasa yule tuliyemuimba siku zote kuwa ni fisadi NO1 nikasema hapana nitakonekana mjinga sana. muda huo nilikuwa nitoka ccm na kupewa vi cheo vya ovyo ovyo kule
Tulikubaliana kuwa tusijivunge, tunakula Machame ila tunaenda kupumzika na kulala IkungiTumefikaje hapa? Pesa & tamaa imeua movement.
Noma sana!Mzee Mbowe kasahau kuwa hakuna marefu yasiyo na ncha