Pre GE2025 Freeman Mbowe: Tangu jana nimehifadhiwa ndani kama mwali. Wanaodhani mimi nimepanga mkusanyiko huu sio kweli

Pre GE2025 Freeman Mbowe: Tangu jana nimehifadhiwa ndani kama mwali. Wanaodhani mimi nimepanga mkusanyiko huu sio kweli

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu,

Naona kuna nyuzi humu zilikuwa zinasema kuwa Mbowe ndio amepanga hili tukio la wanachama kumlazimisha kugombea Uenyekiti, leo Mbowe ameamua kuwajibu.

Mbowe amesema kuwa hayo maturubai na viti mnavyoviona ni wanachama wake ndio wameandaa na kwamba yeye aliambiwa akae ndani

View attachment 3179599
Nchi ya maigizo hii
 
Zee la hovyo yani limenitoka vibaya mno. Bora Lissu ametuonyesha namna ambavyo Mbowe na machawa wake walivyo.
Likigombea tena na najua litashinda kwa ghilimba, kamwe kushabikia siasa hata upinzani ni mwisho.
Hata hapa jf nita ignore jukwa la siasa
 
Kwamba mtu/watu wanakuja nyumbani kwako na kuweka maturabai then wanaweka maspika na kuunganisha kwenye umeme kutoka kwenye nyumba yako nawe hufahamu/hajashirikishwa.

Mbowe namkubali ila asitake kuleta stori za KiCCM zile za ATAKE ASITAKE TUTAMLAZIMISHA..
 

Attachments

  • images (1).jpeg
    images (1).jpeg
    6.4 KB · Views: 2
Wakuu,

Naona kuna nyuzi humu zilikuwa zinasema kuwa Mbowe ndio amepanga hili tukio la wanachama kumlazimisha kugombea Uenyekiti, leo Mbowe ameamua kuwajibu.

Mbowe amesema kuwa hayo maturubai na viti mnavyoviona ni wanachama wake ndio wameandaa na kwamba yeye aliambiwa akae ndani

View attachment 3179599
Watanzania sio wajinga kama anavodhani.
 
"..... Hivi vituko uswahilini!,
Uswahilini kuna vituko......"
By Inspector Haroon ft Suma G.

Ni hayo tu.
 
Back
Top Bottom