Freeman Mbowe: TRA walinidai Kodi Bilioni 2, Wakafunga akaunti zangu zote za biashara mpaka binafsi, Wakachukua hela

Freeman Mbowe: TRA walinidai Kodi Bilioni 2, Wakafunga akaunti zangu zote za biashara mpaka binafsi, Wakachukua hela

Katibu wa makampuni yake mwenyewe, mpokeaji wa barua pepe za kampuni mwenyewe, Mwenyekiti mwenyewe, Messenger mwenyewe! What a shame kwa kiongozi mkubwa kama Mbowe!

No wonder hata CHADEMA uendeshaji wake ndiyo huo huo! Form za kujaza taarifa za TRA zinataka kuweka barua pepe ambayo mlipa kodi anaweza kufikiwa, na simu zisizopungua tatu. Kwa hiyo vyote vyote kwenye makampuni yake anatembea navyo yeye!

WHAT A SHAME!

Utakuwa na kitamburisho cha umachinga.TRA unaijua au unasimuliwa au umeajiliwa ujui matatizo kati ya wafanyabiashara na TRA
 
Unahama kwenye mada, unakimbilia umri..

Anyway, ilibidi niingie kwenye profile yako nione umri wako.. Inaonyesha umezaliwa mwaka 88.. Ninyamaze tu, maana naweza kuwa napishana kauli na mwanangu hapa..
 
Wawarudishie hela zao watu wa bureau de change huo uhakiki wa zaidi ya miaka 4 ni wa wapi? Wezi wanajulikana kwenye CCTV
 
Mbowe ni muongo.

Mbowe anasema alifungiwa akaunti zote lakini akaamua kwenda kufanya Biashara Dubai, hizo hela za kwenda kuanzisha biashara Dubai zilikua akaunti gani kama akaunti zake zote TRA walifungia?
Mbowe ni mfanyabiashara old money lazima account za nje zisome biashara zina bima,asset alizonazo anaweza uza na akapata mtaji,simple.
 
Mbowe ana miliki wanachama wajinga sana.
CCM inamiliki wanachama wajinga zaidi Yaani kuendekeza Tabia mbovu za kuwabambikia kodi kubwa wafanyabiashara kuwafungia Account biashara kuwabambikia kesi za utakatishaji fedha uhujumu uchumi ndiyo CCM kuwa inamiliki wanachama wenye Akili?
 
Wawarudishie hela zao watu wa bureau de change huo uhakiki wa zaidi ya miaka 4 ni wa wapi? Wezi wanajulikana kwenye CCTV
Eti wanasema marehemu magufuli alikuwa mtume malaika hapo ndipo wanufaika wa udikiteta wa magufuli huushangaza ulimwengu
 
Back
Top Bottom