lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
Janet alikua Mhanga mwenzetu tu Dadangu.Ile bendera ya Tanzania, mama Janet aturudishie. Alipewa mtu asiyestahili.
Alitaabika Kama tulivytaabika sisi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Janet alikua Mhanga mwenzetu tu Dadangu.Ile bendera ya Tanzania, mama Janet aturudishie. Alipewa mtu asiyestahili.
Kwa wazo hili, ELIMU YETU INASHIDA!!!Mbowe ni muongo.
Mbowe anasema alifungiwa akaunti zote lakini akaamua kwenda kufanya Biashara Dubai, hizo hela za kwenda kuanzisha biashara Dubai zilikua akaunti gani kama akaunti zake zote TRA walifungia?
Mara hii umesahau? Lissu aliyasema kwenye kampeni akiwa kaskazini kama sikosei. Ile hulka sio ya Nchi hii.Umetisha mama kubwa
Mbowe siyo kilaza kama weweSasa naamini kuna kampeni chafu ya kumchafua JPM!
Kama ni toka 2018 alishindwa nini kuitumia ktk siasa za uchaguzi kama ilivyo kwa wanasiasa wetu kutafuta sympath!
Kichwani umebeba ugaliSikiliza maelezo yake mwenyewe anasema baada ya kufungiwa ndio akaamua kwenda Dubai kuanzisha biashara, hakusema kama alikua na biashara huko.
Kwenda huko . Mikono yako ina damu pia
Mashetanu ni ninyi wakwepa kulipa kodi😂🤣😂, kwa kweli mliishi kishetani motoni! Duuuuh, Magufuli baba lao, alipita mlemle kwenye maneno yake! Rip &power shujaa JPM, we salute you Hon! We shall forever miss your statesmanship!Meko alikua shetani ibilisi kabisa sio binadamu wa kawaida kabisa yule.
Panua ubongo,kama alikuwa na biashara A na B huko Dubai lakini baada ya figisu za Pombe akaamua kwenda kuanzisha biashara C ulitaka asemejeHakwenda kuanzisha biashara Dubai. Mbowe nnayemfahamu mimi ana biashara Dubai kitambo(2008) nishawahi kufanya biashara na kampuni mojawapo yake
Lol ya kweli haya Mzee?Mo siku akifunguka jinsi alivyolazimishwa kuhamisha hela siku alipotekwa ndipo mtajua kuwa hamjui. Nina ushahidi wa wazi wazi jinsi Jiwe alivyopora uwekezaji wa watu kwa kuwatisha. Yani ulikuwa unawekwa kwenye chumba usiku wa manane kazi ilikuwa moja kusaini nyaraka ama ukutane na chuma.
Kuna mmoja alisainishwa nyaraka usiku wa manane ili makampuni yake yataifishwe na hakuwa na jinsi maana TAKUKURU walikuwa wanamtisha kuwa akikaidi hatorudi tena kwao.
Yani kikosi kazi cha Jiwe kilikuwa kinaandaa nyaraka then unachukuliwa unapelekwa juu ghorofani na unakaa nao wewe peke yako! Hata mwanasheria wako haruhusiwi kuwepo.
Ebwanaeee Nenda zako mzee!
Hakuwa na maana ya kumuombea maisha mema, bali kuombewa pumziko la milele!Asante Mungu kwa kutuondolea Lile Jiwe.
Yule mtu hakuwa na chembe ya Ubinadamu kabisa, halafu kila siku eti "Watanzania mniombee"yaani tukuombee utese watu?
Na anavyopenda mahakamani mbona hili hakwenda?Kama hakufata sheria..alitaka iweje!!! Kama alifata aende mahakamani..
Ila nawashangaa wengi.. maneno mengi kama vile uongozi wote umebadilika ukaja mpya kutoka sijui safari ipi.. na sheria za nchi zimekutwa..
Waendelee tu kuongea...........
alikuwa pepo lenye mapembeMagufuli hakuwa Binadamu, alikuwa ni Shetani mwenye umbile la Binadamu, yaani ni Lucifa aliyekuja kuitawala Tanzania,halafu kuna majibwa humu yaona alikuwa mtu, yaani katili huyu katesa sana Watu.
Ungekua umepanua ubongo ungejua niliyemjibu nilimjibu hivyo alisemaje.Kuliko kudandia tuPanua ubongo,kama alikuwa na biashara A na B huko Dubai lakini baada ya figisu za Pombe akaamua kwenda kuanzisha biashara C ulitaka asemeje
Labda shujaa wa chatoNdiyo atabaki kuwa shujaa wa Africa siyo lazima umkubali wewe.
Ajiuzulu Uspika na aje aombe radhiNdugai angafanya nini mbele ya mtu fedhuri kama yule
Kuna hotuba yake, ambapo hicho kipengele cha dhuluma aliyo tendewa binafsi, ni tone tu! Amezungumza mengi, itoshe tu kusema, mwendazake aliiweka miimili yote mitatu na taasisi nyingine mfukoni mwake!Mamlaka na taasisi zilizohusika kufanya hayo zipo kwanini watendewa hawaendi kushiktaki?
Unapo ona kuna mahala ukutendewa ndivyo sivyo ni wajibu wako kuchukua hatua stahiki kuliko kulalamika na kumuattack mtu mmoja kibaya zaidi hayupo.
Serikali ni taasisi sio mtu personal, paper works zipo.
Mbona mnakuwa kama sio wasomi.
Ndio maana CAG ameweka kila kitu kisomi ni jukumu la wahusika kuchuliwa hatua /kujibu hoja za CAG vikiwemo vyama vya siasa,taasisi na wakala wa Serikali.
Hoja ya Mh. Mbowe aiweke kimaandishi na kuwasilisha kunako husika TRA.
[emoji3][emoji3]mzee naye alizidi roho mbaya na kisasi, watu design yake hawafai kupata madaraka, a good leader inabidi awe na kautu na kahuruma kidogo.Amrehemu au amkandamize
Alikuwa anakuogopa wewe usimpotezeNa alikuwa wapi muda wote huo kusema... Anasuburi mtu afe!
Wanyonge wengi hata shule hawajaenda na wanaaminishwa unyonge wao umesababishwa na matajiri so wanyonge wakiona matajiri wanateswa wanafikiria watakuwa sawa kumbe umaskini wao unazidi. Sasa kufungua wafanyabiashara account ndo kumefanya Hadi mzunguko kudorora wa hela, na uchumi kukua kwa kiasi kidogo Sana.Halafu Kuna vilaza Face Book vinapinga,vinatetea na kusikitika akikaangwa na CAG.
Vijitu vinavyoitwa vinyonge vina Chuki Sana na watu wenye maendeleo,
Kwa kuwa alitesa wafanyakazi,wafanyabiashara,matajiri na watu wenye mafanikio hivyo vijitu vinyonge vya Face book vinamuona shujaa.
Shujaa makopo.