Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,754
- 4,975
Porojo tu.NUKUU
"Kuanzia Jumatatu [Septemba 23] sisi tutaingia barabarani kudai tunachoona ni uhai wa watu wetu waliopotezwa, vinginevyo serikali imechukua hatua za haraka na za makusudi kuwarejesha, watu kujiuzulu, na watu wote kuwajibika.” - Freeman Mbowe, Mwenyekiti CHADEMA
View attachment 3093536
Hiyo ndiyo LUGHA ambayo Watawala wanaielewa kuliko Scotland Yard.Sawasawa
Sasa hapa imekaa vyema,tutaingia Barabarani
Ulikuwa wapi mwenyekiti tulikuwa tunakushangaaNUKUU
"Kuanzia Jumatatu [Septemba 23] sisi tutaingia barabarani kudai tunachoona ni uhai wa watu wetu waliopotezwa, vinginevyo serikali imechukua hatua za haraka na za makusudi kuwarejesha, watu kujiuzulu, na watu wote kuwajibika.” - Freeman Mbowe, Mwenyekiti CHADEMA
View attachment 3093536
IkiwezekanaUpigwe bunduki kabisa
Ujifilie mbaliIkiwezekana
Anatatizo pahala huyuWewe jamaa unapenda san nyuzi z kuomba kupigwa Ban , kila siku ikitokea kitu Fulani nipige ban ..
Ni dalili mbaya sana hizi....
Baada ya taarifa hii Kuelekea 2025 - Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu,NUKUU
"Kuanzia Jumatatu [Septemba 23] sisi tutaingia barabarani kudai tunachoona ni uhai wa watu wetu waliopotezwa, vinginevyo serikali imechukua hatua za haraka na za makusudi kuwarejesha, watu kujiuzulu, na watu wote kuwajibika.” - Freeman Mbowe, Mwenyekiti CHADEMA
View attachment 3093536
Pia soma: Kuelekea 2025 - Mbowe: Mtu wa kwanza kuwajibishwa kwenye matukio ya utekaji ni Rais Samia. CHADEMA kuanza kampeni ya 'Samia Must Go'
Hawa jamaa kwakuwa wanakula bure wanadhani wote tupo hivyo sijui nani awaeleze kwamba tulio wengi kama kweli watafanikiwa tutalala na njaa. Kwani hatuna mbinu mbadala ya kufanya hao mahasimu wenu wawasikie? Nikweli hoja ipo na ni kweli kabisa kuna mambo hayaendi sawa kutokana na kukosekana kwa uwajibikaji pia ukatili kila kona kuanzia kwa raia mpaka kwa waajiriwa.
Nadhani kuna namna tunaweza kufanya bila kuathiri kipato chetu au afya zetu tengenezeni utaratibu wa kufahamisha umma ili kwenye sanduku la kura tupige kwa hasira na kuzilinda ole wao wabadili matokeo hapo sasa tuitoe siku nzima kama sadaka pia wanazuoni waje na utafiti kuona namna bora ya kuifanya nchi hii iwe yenye kuweka viongozi watakao tekeleza mahitaji ya wananchi wote pia wapinzani waeleze wao tukiwachagua watafanya nini tofauti na hawa waliopo?
Ngoja nikuulize swali Moja tu dogo, hivi mpaka lini Chadema, wataendelea kufanya huo unaouita uvumilivu Kwa madhila wanayofanyiwa??Baada ya taarifa hii Kuelekea 2025 - Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu,
ushauri wangu kwa CHADEMA ni ule ule Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!
P