Pre GE2025 Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ngoja nikuulize swali Moja tu dogo, hivi mpaka lini Chadema, wataendelea kufanya huo unaouita uvumilivu Kwa madhila wanayofanyiwa??
Kanuni ya uvumilivu ni kuvumilia mpaka mwisho, kama Chadema sasa ndio wamefika mwisho wa uvumilivu wao, haya na waandamane tuwaone!
Tujikumbushe, miaka zaidi ya 7 iliyopita, Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, alimiminiwa risasi za kutaka kumuua.
Ni kweli hili ni tukio baya kabisa na sote tulilaani.
Hao hao Polisi wanaendelea kudai kuwa upelelezi wa tukio Hilo bado unaendelea!
Hapa ni uwezo mdogo wa polisi wetu kuchunguza,
Hivi upelelezi Gani unaoweza kuendelea katika tukio lililo la wazi kabisa, kuwa Tundu Lissu alipigwa risasi na watu wa mfumo??
Una uhakika?
Njia pekee ya kutokemeza udhalimu huu, unaofanywa na Jeshi la Polisi, chini ya uangalizi wa karibu kabisa wa chama Cha CCM, ni kujitoa muhanga na kuandamana Kwa amani, ambapo ni halali Kwa mujibu wa Katiba ya nchi yetu.
Ni kweli maandamano ni haki ila usalama kwanza!
Vitisho wanavyovitoa Polisi, kama kawaida yao ni uvunjifu wa Katiba ya nchi yetu
Ni kweli huu ni uvunjifu wa katiba, ila pia ni katiba hiyo hiyo imeruhusu usalama kwanza, ukiona kuna hatari za kiusalama, katiba inawekwa pembeni, usalama kwanza.
P
 
Jamani watanzania msiandamane kwa sababu Hawa wauaji Kuna uwezekano mkubwa wana bakap ya wakubwa na vyombo vya ulinzi na usalama ndio mana wamepiga marufuku maandamano, kwani wanaficha nini kama wao hawahusiki, kwanini wasilinde maandamano ili watu watoe nyongo zao? Hawa hatuwawezi kwa maandamano Wala kwa mahakama. Njia pekee ya kumaliza mzizi wa fitina ni kukusanya taarifa za wauaji na waliowatuma na baada ya hapo tuwalipe mafia wauwe mmoja baada ya mwingine kimyakimya, hata angekuwa nani atapigwa chini tuu, baada ya hapo tutaheshimiana tu.
 
Naunga mkono hoja tuwasake nyumba kwa nyumba akina mafwele tuwamalize...
 
Kuelekea maandamano ya CHADEMA 23/9/2024 ni vyema kuelewa kua yatakua maandamano ya vita na sio ya amani na hii ni kutokana na hotuba ya Raisi leo mchana. Cha mwisho CDM mnazungukana sana imagine maongezi ya siri ya kamati kuu yote yanamfikia Rais🙄. Nawatakia kila la kheri kwenye mapambano ya haki.
 
Kanuni ya uvumilivu ni kuvumilia mpaka mwisho, kama Chadema sasa ndio wamefika mwisho wa uvumilivu wao, haya na waandamane tuwaone!

Ni kweli hili ni tukio baya kabisa na sote tulilaani.

Hapa ni uwezo mdogo wa polisi wetu kuchunguza,

Una uhakika?

Ni kweli maandamano ni haki ila usalama kwanza!

Ni kweli huu ni uvunjifu wa katiba, ila pia ni katiba hiyo hiyo imeruhusu usalama kwanza, ukiona kuna hatari za kiusalama, katiba inawekwa pembeni, usalama kwanza.
We kichwa matope kweli😂
 
Porojo tu.
Hawana uthubutu, matamko yamekua mengi mnoooo
Porojo wakati Samia Suluhu Hassan Rais wako na IGP wake anakusanya polisi wote wa wilayani na mikoani na kuwahamishia kwa muda DSM....?

Mpaka hapo, agenda ya CHADEMA inapata promo za bure kitaifa na kimataifa kwa ujinga na upumbavu wa watawala viongozi hawa wa CCM wasio na akili...

Jambo ndogo linalohitaji hekima ndogo tu ya kulitatua, wanatumia nguvu kuubwa na pesa nyingi ambazo zingetumika kuhudumia watu ktk afya, elimu, kuwapatia watu maji safi na salama lakini badala yake zinateketezwa na mawakala wa shetani kwa sababu ya ujinga na upumbavu wa maamuzi ya viongozi wa serikali hii chini ya CCM...

Kwa kifupi ni kuwa hizi sio porojo ndugu. Hii kitu ni halisi na lazima kuna watu (viongozi wa serikali yenu hii) watalipia gharama kwa maamuzi yao ya kijinga na kipumbavu kwa kuwa tu wamekosa hekima na busara...
 
Porojo wakati Samia Suluhu Hassan Rais wako na IGP wake anakusanya polisi wote wa wilayani na mikoani na kuwahamishia kwa muda DSM....?

Mpaka hapo, agenda ya CHADEMA inapata promo za bure kitaifa na kimataifa kwa ujinga na upumbavu wa watawala viongozi hawa wa CCM wasio na akili...

Jambo ndogo linalohitaji hekima ndogo tu ya kulitatua, wanatumia nguvu kuubwa na pesa nyingi ambazo zingetumika kuhudumia watu ktk afya, elimu, kuwapatia watu maji safi na salama lakini badala yake zinateketezwa na mawakala wa shetani kwa sababu ya ujinga na upumbavu wa maamuzi ya viongozi wa serikali hii chini ya CCM...

Kwa kifupi ni kuwa hizi sio porojo ndugu. Hii kitu ni halisi na lazima kuna watu (viongozi wa serikali yenu hii) watalipia gharama kwa maamuzi yao ya kijinga na kipumbavu kwa kuwa tu wamekosa hekima na busara...
🔊
 
Kila kitu kina faida, hasara na fursa. Maandamano ya Chadema ya Sept 23 yamekuwa fursa ya biashara.

Nyumba za kulala wageni (guest houses) za Kimara tayari milango imewekwa mabango "VYUMBA VIMEJA". Binafsi nina ga gesti kangu ka vyumba 20 nimeshangaa jana usiku kupata wageni kutoka Arusha, vijana wa kiume 13 na wadada 7. Umri wao ni kati ya miaka 19 na 27 kwa mujibu wa maelezo yao kwenye kitabu cha wageni.

Mara zote walipiga simu kwa wenzao wakiulizana, "oya mmefika wapi?" Mara "mmepanda basi gani?nakadhalika. Inavyoonekana waandamanaji kutoka mikoani watakuwa wengi kuliko wakazi wa Dar.

Kusema kweli Jeshi la Polisi lisitumie nguvu kuwatawanya maana mtu kuacha shughuli zake mikoani tena kwa kutumia fedha zake, huyo mtu hana cha kupoteza hata uhai wake. Na hii si kwa waandamanaji tu hata Polisi nao wanaweza kupoteza risasi na uhai wao pia. Tuyaache yawe maandamano ya AMANI.

Rai yangu Chadema ondoeni sloga ya Samia Must Go (SMG) na badala yake tumieni "Bring Them Back" (BTB). Pia pazeni sauti kuhusu kupanda kwa gharama za maisha na bei holela. Pingeni ufisadi na ukwasi wa mawaziri uliopindukia nk.
 
Kila kitu kina faida, hasara na fursa. Maandamano ya Chadema ya Sept 23 yamekuwa fursa ya biashara.

Nyumba za kulala wageni (guest houses) za Kimara tayari milango imewekwa mabango "VYUMBA VIMEJA". Binafsi nina ga gesti kangu ka vyumba 20 nimeshangaa jana usiku kupata wageni kutoka Arusha, vijana wa kiume 13 na wadada 7. Umri wao ni kati ya miaka 19 na 27 kwa mujibu wa maelezo yao kwenye kitabu cha wageni.

Mara zote walipiga simu kwa wenzao wakiulizana, "oya mmefika wapi?" Mara "mmepanda basi gani?nakadhalika. Inavyoonekana waandamanaji kutoka mikoani watakuwa wengi kuliko wakazi wa Dar.

Kusema kweli Jeshi la Polisi lisitumie nguvu kuwatawanya maana mtu kuacha shughuli zake mikoani tena kwa kutumia fedha zake, huyo mtu hana cha kupoteza hata uhai wake. Na hii si kwa waandamanaji tu hata Polisi nao wanaweza kupoteza risasi na uhai wao pia. Tuyaache yawe maandamano ya AMANI.

Rai yangu Chadema ondoeni sloga ya Samia Must Go (SMG) na badala yake tumieni "Bring Them Back" (BTB). Pia pazeni sauti kuhusu kupanda kwa gharama za maisha na bei holela. Pingeni ufisadi na ukwasi wa mawaziri uliopindukia nk.
amani yetu.png
 
NUKUU

"Kuanzia Jumatatu [Septemba 23] sisi tutaingia barabarani kudai tunachoona ni uhai wa watu wetu waliopotezwa, vinginevyo serikali imechukua hatua za haraka na za makusudi kuwarejesha, watu kujiuzulu, na watu wote kuwajibika.” - Freeman Mbowe, Mwenyekiti CHADEMA

View attachment 3093536

Pia soma: Kuelekea 2025 - Mbowe: Mtu wa kwanza kuwajibishwa kwenye matukio ya utekaji ni Rais Samia. CHADEMA kuanza kampeni ya 'Samia Must Go'
Vijana wa FFU wana hamu na wewe hatari!! Wanakukaribisha.
 
Ngoja nikuulize swali Moja tu dogo, hivi mpaka lini Chadema, wataendelea kufanya huo unaouita uvumilivu Kwa madhila wanayofanyiwa??

Tujikumbushe, miaka zaidi ya 7 iliyopita, Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, alimiminiwa risasi za kutaka kumuua.

Hao hao Polisi wanaendelea kudai kuwa upelelezi wa tukio Hilo bado unaendelea!

Hivi upelelezi Gani unaoweza kuendelea katika tukio lililo la wazi kabisa, kuwa Tundu Lissu alipigwa risasi na watu wa mfumo??

Njia pekee ya kutokemeza udhalimu huu, unaofanywa na Jeshi la Polisi, chini ya uangalizi wa karibu kabisa wa chama Cha CCM, ni kujitoa muhanga na kuandamana Kwa amani, ambapo ni halali Kwa mujibu wa Katiba ya nchi yetu.

Vitisho wanavyovitoa Polisi, kama kawaida yao ni uvunjifu wa Katiba ya nchi yetu
Na wewe usibaki unaandika kama vile we ni mwamba, ngoja mje mshughulikiwe ipasavyo nyau nyie.
 
Katika Surat Al-Hadid (57:20), Mwenyezi Mungu anasema:

"Jueni ya kwamba maisha ya dunia hii ni mchezo na pumbao na pambo na kujifaharisha baina yenu na kushindana kwa wingi wa mali na watoto. Mfano wake ni kama mvua inayowashangaza wakulima kisha yananyauka ukaiona yamepiga manjano, kisha yakawa mabua yaliyovunjika. Na katika Akhera kuna adhabu kali na maghfira kutoka kwa Mwenyezi Mungu na radhi. Na maisha ya dunia si chochote ila ni starehe ya kudanganya.


"Aya hii inaeleza kwa uwazi kwamba maisha ya dunia ni ya muda mfupi na hayana thamani kubwa ikilinganishwa na furaha ya milele kwa wale wanaomtii Mwenyezi Mungu. Starehe zote za dunia, kama mali, watoto, na majivuno, ni za mpito na haziwezi kutoa furaha ya kweli au ya kudumu.

Uadilifu Hata kwa Adui
Qur'an pia inasisitiza kuwa uadilifu lazima udumishwe hata kama mtu anayehukumiwa ni adui.

Katika Surat Al-Maida (5:8), Mwenyezi Mungu anasema:"Enyi mlioamini! Kuweni wenye kusimamia uadilifu, kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, na msishurutishwe na chuki dhidi ya watu wengine kutowatendea uadilifu. Tendeni uadilifu, hiyo ndiyo iliyo karibu sana na uchamungu, na muogopeni Mwenyezi Mungu; hakika Mwenyezi Mungu anazo habari za mnayoyatenda.

"Hii inaonyesha kuwa hata kama kuna hisia za uadui dhidi ya mtu au kikundi, chuki hiyo haipaswi kuwa kisingizio cha kuhukumu kwa upendeleo au dhulma. Badala yake, waumini wanaamrishwa kudumisha uadilifu kwa kila hali
 
Katika Surat Al-Hadid (57:20), Mwenyezi Mungu anasema:

"Jueni ya kwamba maisha ya dunia hii ni mchezo na pumbao na pambo na kujifaharisha baina yenu na kushindana kwa wingi wa mali na watoto. Mfano wake ni kama mvua inayowashangaza wakulima kisha yananyauka ukaiona yamepiga manjano, kisha yakawa mabua yaliyovunjika. Na katika Akhera kuna adhabu kali na maghfira kutoka kwa Mwenyezi Mungu na radhi. Na maisha ya dunia si chochote ila ni starehe ya kudanganya.


"Aya hii inaeleza kwa uwazi kwamba maisha ya dunia ni ya muda mfupi na hayana thamani kubwa ikilinganishwa na furaha ya milele kwa wale wanaomtii Mwenyezi Mungu. Starehe zote za dunia, kama mali, watoto, na majivuno, ni za mpito na haziwezi kutoa furaha ya kweli au ya kudumu.

Uadilifu Hata kwa Adui
Qur'an pia inasisitiza kuwa uadilifu lazima udumishwe hata kama mtu anayehukumiwa ni adui.

Katika Surat Al-Maida (5:8), Mwenyezi Mungu anasema:"Enyi mlioamini! Kuweni wenye kusimamia uadilifu, kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, na msishurutishwe na chuki dhidi ya watu wengine kutowatendea uadilifu. Tendeni uadilifu, hiyo ndiyo iliyo karibu sana na uchamungu, na muogopeni Mwenyezi Mungu; hakika Mwenyezi Mungu anazo habari za mnayoyatenda.

"Hii inaonyesha kuwa hata kama kuna hisia za uadui dhidi ya mtu au kikundi, chuki hiyo haipaswi kuwa kisingizio cha kuhukumu kwa upendeleo au dhulma. Badala yake, waumini wanaamrishwa kudumisha uadilifu kwa kila hal
 
Back
Top Bottom