Pre GE2025 Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kuelekea maandamano ya CHADEMA 23/9/2024 ni vyema kuelewa kua yatakua maandamano ya vita na sio ya amani na hii ni kutokana na hotuba ya Raisi leo mchana. Cha mwisho CDM mnazungukana sana imagine maongezi ya siri ya kamati kuu yote yanamfikia Rais🙄. Nawatakia kila la kheri kwenye mapambano ya haki.
Tunaanzia wapi? Mbona mna siri sana
 
Back
Top Bottom