Uchaguzi 2020 Freeman Mbowe usiwanyime wengine Ubunge kisa wewe hujashinda

Ccm naona walikengeuka kwa kushindwa kujua umuhimu wa upinzani Sasa wametinginya ndo wanashuka hawakujifunza kutoka kikwete alitekuwa ana jitahidi ku wa favor ili kuepusha vitu vya aibu vya sasa.
 
Samahani, are you serious? Tafadhali niambie kuwa unatania! Siamini kabisa kama uko serious hapa!
 
Kutopeleka wabunge wa viti maalumu bungeni kuna faida kidogo zaidi na hasara nyingi zaidi

Labda faida pekee ni ‘kuwakomoa CCM’ na kuwatumia zaidi hao kinamama majimboni ili kukuza chama maana watakuwa na muda wa kutosha sana
 
Samahani, are you serious? Tafadhali niambie kuwa unatania! Siamini kabisa kama uko serious hapa!
Jiwe alisema mwaka 2020 inch itakua ya chama kimoja mbona unashangaa

Wapinzani wametuchelewesha sana tangu Uhuru mwaka 1961

CCM pekee Kwa raha zao kila hoja imepita

Rais aongezewe muda... Imepita
Chato iwe mji mkuu.... Imepita
Mtoto wa sister apewe funguo za hazina.. Imepita
Kila kitu kipite sio bila kupingwa tu Bali bila mijadala

Bunge la Ndio mzee linakuja sasa wasiwasi wako ni nini?
Yaani hata vikao itakua kama kwenda kutembea Dodoma
 
CHADEMA waache ubinafsi na ubaguzi kwa wanawake walioshinda viti maalumu, mbona wao walishinda dhidi ya tume hii hii na wakaenda bungeni?
Walishinda wote wanabadilishwa na kupewa wake zao
 
CHADEMA waache ubinafsi na ubaguzi kwa wanawake walioshinda viti maalumu, mbona wao walishinda dhidi ya tume hii hii na wakaenda bungeni?
Cuf hawapo? Chadema imekufa achaneni nayo
 
Ni seme tu yakwamba hawa hawakuwa wazalendo wa nchi hii bali ni uchu wa madaraka Mimi naomba waliochaguliwa waendelee wasiwasikiize
 
Wapinzani wanakwamisha maendeleo bro
 
CHADEMA waache ubinafsi na ubaguzi kwa wanawake walioshinda viti maalumu, mbona wao walishinda dhidi ya tume hii hii na wakaenda bungeni?
Unaijua list ya walioshinda?
 
Kwani kipindi kina mnyika wanaenda bungeni watu hawakufa mfano Yale maandamano ya Arusha. Kwangu mimi acheni ubinafsi, hafu Mimi siko chama chochote ni raia wa kawaida nisiye na mihemkoa
Acha unafiki
 
Wasusieni ccm basi maana hapo ccm hawana shida Ila mnajikomoa nyie ka chama maana mtasahaulika uwepo wenu mtajuta na ccm inaweza kukipa power chama kingine Cha upinzani ndio mtajutra, Cuf walisusa nini walichokipata?
Hivyo vyama vyengine na viwape nguv. Kwanini mnalazimisha wakati hawataki. Tutakwenda dukani na ununuzi utakuwa WA bei moja kati ya mataga(ccm) na WA upinzani na wengine. Kwahiyo hatutapungukiwa chochote bakini tu pekeyenu mmetaka wemyewe kubakia chama kimoja.
 
CHADEMA waache ubinafsi na ubaguzi kwa wanawake walioshinda viti maalumu, mbona wao walishinda dhidi ya tume hii hii na wakaenda bungeni?
Nileteeni Ccm mzee baba. Acheni bunge letu liwe la kijani.
 
Miaka mitano sio milele ni kesho tu.mlitaka muwe mwenyewe.sasa kila kitu cha kwenu na nchi niyakwenu mtaamua mtakavyo tunasubiri muibadilishe iwe kama ulaya.maana mlikua mnasema wapinzani wanachelewesha maendeleo.haya sasa uwanja wenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…