Uchaguzi 2020 Freeman Mbowe, Zitto Kabwe, Godbless Lema na Boniface Jacob waachiwa kwa dhamana

Uchaguzi 2020 Freeman Mbowe, Zitto Kabwe, Godbless Lema na Boniface Jacob waachiwa kwa dhamana

Mkuu bora hata angekuwa diktekta kamili. Dikteta uchwara ni diktekta mjinga, hohehahe asiyejilewa na anayedili na vitu vvya kijinga. Tukisema ni diktekta wa daraja la juu tutampa ''ujiko'' ambao hana. Diktekta uchwara ni hovyo kuliko diktekta wakubwa.
Kweli mkuu
 
123448913_3672864036110897_3024471178052448625_o.jpg


Zitto Kabwe kiongozi wa ACT naye ameachiwa na polisi na muda huu.
 
Back
Top Bottom