Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kama siyo Marekani tungeteswa sana na huyu diktetawamefuata maagizo yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama siyo Marekani tungeteswa sana na huyu diktetawamefuata maagizo yangu
Hili jina kwa hapa lilipotea.Sawa
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Ataapishwa Hivi Karibuni, Acheni Kuichafua Sherehe
Magaidi tuna dunda nao tu mitaani!! Mambosawa uwe unachanganya na zako au huna hata kidogo?Magaidi huwa wanapewa dhamana? Polisi ukipewa maelekezo tumia na akili zako.
...kwa dhamana ya polisi...😂😂😂Magaidi wameachiwa
Hapana mkuu ushahidi si huuKwa hiyo uchunguzi wa awali wa polisi uliosema kuwa wamefanya makosa ya kigaidi ulikuwa ni uchunguzi fake?
Magaidi yakiwa nje wasije lipua hivyo vituo vya mafutaUchunguzi unaendelea
Ndio vijana walio pewa simu zenye VPN apo lumumbaWewe mburula umeandika nini?
Mabeberu yamenena, yale ambayo magufuli anayaita wakubwaKwa nini? Arrrrgh, ...
Alhamndullilah bila shaka allah yupo pamoja nao atawalipa haya yote mnayofanyiwaBREAKING: MBOWE NA WENZAKE WAACHIWA KWA DHAMANA
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe na viongozi wenzake waliokuwa wamekamatwa na Polisi kwa tuhuma za kuandaa maandamano kupinga mchakato wa Uchaguzi Mkuu wameachiwa kwa dhamana - Mwanasheria wao ameithibitishia JamiiForums
View attachment 1618770
View attachment 1618769
View attachment 1618771
Tuwashukuru Marekani na nchi za Ulaya bila shinikizo dikteta alikuwa anaenda kuwamaliza ndugu zetuKwani siku hizi kesi za ugaidi zina dhamana kaka mkubwa ?
Huku ni kuwatia kizuizini wapinzani na siyo mahabusu. Hili ni zoezi haramu la muendelezo wa kujaribu kuumaliza upinzani baada ya kugundua ushindi batili kupitia kura za maruhani bado hazijaweza kuzima upinzani uliopo mioyoni mwa waTanzania na sasa wanakwenda kujaribu kutishia nyoyo za waTanzania.BREAKING: MBOWE NA WENZAKE WAACHIWA KWA DHAMANA
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe na viongozi wenzake waliokuwa wamekamatwa na Polisi kwa tuhuma za kuandaa maandamano kupinga mchakato wa Uchaguzi Mkuu wameachiwa kwa dhamana - Mwanasheria wao ameithibitishia JamiiForums
View attachment 1618770
View attachment 1618769
View attachment 1618771
Balaa tupuMsuli wa aibu wa magufuli ulipigwa shoti ya umeme, huwa hau sense chochote kile ndio maana kinywa chake hakiishi kutamka kauli zilizojaa uongo