Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Shetani hajawahi kumshinda Mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu yeye ni nani?Wamwachie Zitto Kabwe haraka bila masharti
Pompeo labda.Kwa nini? Arrrrgh, ...
Mpaka sasa sijaelewa Magufuli anamfanyia Freeman Mbowe ukatili kwa manufaa gani! Nijuavyo Mimi Magufuli ni Rais wa Tanzania, kwa mjibu wa Katiba yetu na Biblia Rais ni mtawala kwa niaba ya Mungu kwa watu wote ndani ya Jamuhuri ya Tanzania. Magufuli kuamfanyia ukatili Freeman Mbowe ni kupingana na kanuni ya Mungu ambae daima huwatendea mema wema na wabaya wake. Ndo maana mvua haichagui kunyeshea mashamba ya watakatifu tu.Ila Mbowe Mungu atamlipia tu! utawala huu umemtesa kwanamna zote kana kwamba wao wataishi milele.
Walipokuwa ndani hukusema hivyo. Ulitaka waendelee kukaa ndani jua kuwa wanaumia wenzako kuna mbu balaa nilishawahi kukaa mkuu huko!Ni baada ya kutishwa na Marekani, mashetani wakubwa hawa.
Who's ZittoWamwachie Zitto Kabwe haraka bila masharti
Ila Mbowe Mungu atamlipia tu! utawala huu umemtesa kwanamna zote kana kwamba wao wataishi milele.
Who's Zitto
Haya tumekusikia wewe popoma!Huyu Magufuli na huu utawala wake wa kiimla hauna future, tuko hapa.
Mkuu OKW BOBAN SUNZU ni wakati wa kujitafakari kama kweli upinzani ulikuwa na nafasi ya kushinda! Zifuatazo ni baadhi ya sababu, nyingi zimejadiliwa sana humu jamvini, ambazo kimsingi hao viongozi wasingekuwa na uhalali wa kuhamasisha maandamano yasiyo na kikomo, kushinikiza Uchaguzi Mkuu urudiwe:Magaidi huwa wanapewa dhamana? Polisi ukipewa maelekezo tumia na akili zako.
Who are you? Utopolo's comment!Magufuli ajitafakari Sana Tena Sana Kama kweli anatumiwa na Mungu kuwaongoza watanzania au analazimisha! Nimeshauri kuingia kwenye maombi mazito kwa mwenyezi Mungu akiomba kufumbuliwa fumbo hili la uongozi ili afanye maamuzi magumu kwa faida ya taifa hili la Mungu!
Ageuke nyuma aangalie Kama kweli katika mikutano yake umati ule ulikuwa pale kwa hiyari yao ama la! Na Kama sivyo Basi ajue Hana ulazima wa kulazimisha kazi ya Mungu ya kuwaongoza Wana wa Mungu kwani kazi ya Mungu ni wito kutoka kwa Mungu mwenyewe! Aionee huruma nafsi yake!
Pole mkuuWalipokuwa ndani hukusema hivyo. Ulitaka waendelee kukaa ndani jua kuwa wanaumia wenzako kuna mbu balaa nilishawahi kukaa mkuu huko!
Ficha upumbavu wako Ukatili upiMpaka sasa sijaelewa Magufuli anamfanyia Freeman Mbowe ukatili kwa manufaa gani! Nijuavyo Mimi Magufuli ni Rais wa Tanzania, kwa mjibu wa Katiba yetu na Biblia Rais ni mtawala kwa niaba ya Mungu kwa watu wote ndani ya Jamuhuri ya Tanzania. Magufuli kuamfanyia ukatili Freeman Mbowe ni kupingana na kanuni ya Mungu ambae daima huwatendea mema wema na wabaya wake. Ndo maana mvua haichagui kunyeshea mashamba ya watakatifu tu.
I am who I am, myself! Foolish eh!Who are you? Utopolo's comment!
An idiot!I am who I am, myself! Foolish eh!
That's what you're! Imbecile!An idiot!
Walimgaidi mama yako?Magaidi wameachiwa